Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Kama sijakosea UK wanatambulika kama Great BritainKama ni hivyo kwa nini United Kingdom inakuwa mbali hivyo na sisi? Maana kama alphabet zinaanza kwa Samia basi UK alipaswa kuwa kulia kwa Samia!
Ahaaa kumbe ni alphabet! Basi mm nilidhan mmoja wapo amemuelewa mwenzie. Yaan Biden kampenda mama. Kwa maana akikaa karibu na mama Atasikia faraja Sana.Ni alphabet tu hizo
Yani United Republic of Tanzania then United States of America.hata UN huwa wanakaa hivyo
Jaribu kupitia hii itakusaidiaKama sijakosea UK wanatambulika kama Great Britain
Wanachotaka mabeberu ni kupigiwa magoti tu. Maza alishajisalimisha mapema sana, sasa ni kuburutwa tu.
Mabeberu yalijipangaga long time kitambo kuiburuta dunia.
JESUS IS LORD OF lords.
Naungana na wewe 108% kwenye hiliYour Jesus himself was a beberu too (Mwenye nacho ataongezewa na asiyekuwanacho atanyang'anywa hata kidogo alichonacho).
maana yake ni nchi zenye mwelekeo mzuri hapo baadaeAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Kama sijakosea UK wanatambulika kama Great Britain
Hoja yake ni,Sikumbuki kuomba msaada katika hili.
Kwa maana hakuna kitu inachonusaidia. In short unajulikana kuwa nchi zinapangwa kea alphabate. Sasa kwanini UK yuko hapo alipo hata wewe nina imani hujui
Alphabetical order....Wanachotaka mabeberu ni kupigiwa magoti tu. Maza alishajisalimisha mapema sana, sasa ni kuburutwa tu.
Mabeberu yalijipangaga long time kitambo kuiburuta dunia.
JESUS IS LORD OF lords.
Sisi Pinga pinga FC Wala hatufahamu mambo ya alphabetical order......huyo mama ndiyo amefosi kukaa hapo ila Biden anamkwepa.
Sisi Pinga Pinga FC wala hatutaki kujua ya ALPHABETICAL ORDER....Ni ujanja ujanja ili ionekane kuwa nchi inapendwa sana na Marekani kwa kuwa ina uongozi mzuri wakati kiongozi alie madarakani ni kiazi mbatata.
Shaka Abdul Shaka atakuja soon na sifa kemkem kwa HangayaTusubiri sisiemu waje wasema tuna upiga mwingi
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Conspiracy theories.....Mkuu,hatuna chetu,for Tanzania and the World it is simply over. Kwa wale wanaojua what is going on at Davos behind the curtain,they know what I am talking about.It's all about depopulation(eugenics),human control and domination,wala hawana nia njema na Wanadamu,ni unafiki mtupu.End game?Total human control and domination,not later than 2025.Ni ushetani mtupu unaoendelea Davos.
Magufuli was right not to attend the meetings.Huyu mama ni mtu wao,sisi ndio vipofu.Mtu yeyote aliyeko au aliyewahi kufanya kazi kwenye NGO sio wa kumwamini.NGOs ni tool ya mabepari kusambaza foreign policies zao za kishenzi.We should have known this.
Nahisi hapa neno United halizingatiwi.Hoja yake ni,
URT,
USA
UK
hapa UK yuko mbali ndio hoja yake ilipo
Heshima kitu cha bure mkuu....Jini jike limetumia hata ujini wake kuwa karibu! sasa litaenda kulipa masangoma ghali si mchezo
Sisi wezi wa kura wala hatutaki kujua kuwa Rais aliopo madarakani ni Rais hewa.Sisi Pinga Pinga FC wala hatutaki kujua ya ALPHABETICAL ORDER....
Mwaka wke huu yye c kaamua kwend kutmbea ulayaAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Sisi wezi wa kura wala hatutaki kujua kuwa Rais aliopo madarakani ni Rais hewa.
View attachment 1997335