nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,503
Inamaanisha ni ukoroofi kusema tumepokelewa na mange USA
Hatukuamua tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hatukuamua tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alphabetical inagoma,Ukweli ni upo mkuu
Daah nimecheka kwa sauti sanaInamaanisha ni ukoroofi kusema tumepokelewa na mange USA
Hatukuamua tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana hatuwezi kukubali uvurugaji wa muungano wetu. Faida mojawapo ni hii. Ndiyo, vinginevyo Nipinge kwa hoja.Kwenye umoja wa mataifa wanapanga kwa kuzingatia alphabetical orders. Kwa mantiki hiyo US na URT lazima wakae pamoja
Ile ni England, siyo Uingereza!Angalia Borison alipokaa
US na UK kama huna uwezo wa kufanya lobbying ni kazi bure....zaidi zaidi utatumiwa tuNdiyo maana hatuwezi kukubali uvurugaji wa muungano wetu. Faida mojawapo ni hii. Ndiyo, vinginevyo Nipinge kwa hoja.
inaitwa United Kingdom ( UK)Ile ni England, siyo Uingereza!
Alphabetical inagoma,
United Kingdom
United States
United Republic
Angalia Borison alipokaa
Angalia na hiyo
Mkuu,hatuna chetu,for Tanzania and the World it is simply over. Kwa wale wanaojua what is going on at Davos behind the curtain,they know what I am talking about.It's all about depopulation(eugenics),human control and domination,wala hawana nia njema na Wanadamu,ni unafiki mtupu.End game?Total human control and domination,not later than 2025.Ni ushetani mtupu unaoendelea Davos.
Magufuli was right not to attend the meetings.Huyu mama ni mtu wao,sisi ndio vipofu.Mtu yeyote aliyeko au aliyewahi kufanya kazi kwenye NGO sio wa kumwamini.NGOs ni tool ya mabepari kusambaza foreign policies zao za kishenzi.We should have known this.
Duuuh,Wewe mganga wa kienyeji matunguri yameharibu ufahamu wako unatapika upupu tu wa conspiracies.
mbona hujajibu kuhusu UK?Yuko hapo kwasababu tu ya herufi zinafatana. Yani URT(United Republic of Tanzania) na USA.
Huyu alikuwa mwenyeji na mwenyekiti wa kikao hicho; hakukalishwa alphabetically bali alikalishwa katikati ya meza kuu.
Ahsante mkuu, bila shaka mleta mada atakuwa ameelewa jibu sahihi hili, vinginevyo asingeanzisha mada ya namna hii.Au Tanzania ni ya pili kwa utajiri baada ya US.
Mleta mada fuatilia zaidi, huenda Samia akiwa mkutanoni alienda chooni baada ya Biden ili utuletee tujadili maana yake.
Alphabetical; URT inafuata USA!Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Alfabeti ni URAlphabetical order, United States of America and United Republic of Tanzania
Watatuambia Demokrasia imepanda mama chief amepangwa kukaa na Joe.Ulilolihoji hapa lina manufaa gani kwa Maendeleo ya Watanzania na Ustawi wake Kiujumla?