Nan aliwapa utakatifuMbona wapo Watakatifu Waafrika - Josephine Bakhita, Karolilwanga na wenzake 22 wa Uganda, Mt. Augustino wa Hippo, n.k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nan aliwapa utakatifuMbona wapo Watakatifu Waafrika - Josephine Bakhita, Karolilwanga na wenzake 22 wa Uganda, Mt. Augustino wa Hippo, n.k.
Mwenyezi Mungu.Nan aliwapa utakatifu
lini?Mwenyezi Mungu.
Eti wao waliumbwa na Mungu sisi tulitokana na nyani, halafu pumbavu mmoja akaruhusu vitabu vya historia viwafundishe hivyo watoto wetu.Maalim umeongea kwa ukali sana.Nimekuelewa.
Hahahahahaha unakaa unaangalia unajikuta una buku mfukoni na kwenye kiti umebak peke yako wengine wameamua kwenda kutoa hizo buku tenNipo hapa kwenye kanisa la Roma wanafanya harambee mchangishaji anasema kama wewe ni mwanaume kweli tuletee elf 10 hapa ukiendelea kubaki kwenye Viti tutakuangalia mara mbili mbili huku anawahadaa watu kwa kwaya nzuri
Nimekaa hapa huku naangalia misa ila huu ushawishi mkubwa unao tumika kukusanya sadaka unanipa mashaka makubwa
Sadaka nzuri n kwenda kuwapa chakula wenye njaa siyo kuwaletea Hawa wadau wanasukuma ndiga kali
kwa sababu hawajapewa ithibatiHivi kwanini KKKT hawana watakatifu?
"Holly Ghost Fathers" linanichanganyaga[emoji56]Wewe wasema. Ghost ni nini? Holy Ghost je?
Huyu sio mkatolikiMbona wapo Watakatifu Waafrika - Josephine Bakhita, Karolilwanga na wenzake 22 wa Uganda, Mt. Augustino wa Hippo, n.k.
Utakatifu ni utamaduni wa kikatolic, Hauna uhalisia kuwa mtakatifu maanake huna na hukuwahi kutenda dhambi kitu ambacho hakiwezekaniki.Kwa miaka mingi kanisa lili jifungamanisha na watawala waovu, na kuukumbatia utumwa na ukoloni.Hata kanisa la Leo bado linajifungamanisha na watawala hata kama Hawa tendi haki. Hakuna mtakatifu hapo BaliWapo Watakatifu Waafrika wengi pia wakiwemo mashahidi wafia dini wa Uganda kina Kalori Lwanga na wenzake.Shida kwa Africa Ni upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati.
Hata JPM kwa kauli zake na msimamo wake juu hatua za kukabili uviko 19 na kujitoa kwake, aliokoa maisha ya wengi kwa Imani thabiti kwa Mungu.
Kigezo hicho Pekee mbali ya madhaifu yake mengine anaweza kutangazwa Mtakatifu.
Kwanini watakatifu lazima wawe wakatoliki?Mbona wapo Watakatifu Waafrika - Josephine Bakhita, Karolilwanga na wenzake 22 wa Uganda, Mt. Augustino wa Hippo, n.k.
Watakatifu ni wanadamu wote wanaokufa katika hali ya neema ya utakaso, na hivyo kwenda kuishi na Mungu mbinguni - haijalishi ni Wakatoliki ama vinginevyo.Kwanini watakatifu lazima wawe wakatoliki?