Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ukimpa show Kali anakuachia Dola za maana.
NB: Karibuni wamachinga tusake noti kwenye utalii

images (100).jpeg


c5cab434af168806db16f273051aa550.jpeg
 
Back
Top Bottom