Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ulimpa show Kali anakuachia Dola za maana
Wee mwenyewe umetaja ...Africa!
Unategemea kwamba hao watu, wanaweza kuwaona waAfrica ni "wapya" kama hao wataliano?
 
Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ulimpa show Kali anakuachia Dola za maana
hahahhaaahahahhaaah
Naunga
mkono hoja mkuu wangu Sikupingi Aisee
Hivyo vi bibi vya south vina uswahili Sana Aisee nilikua kwenye resort Moja pale Mangapwani nikashuhudia usemayo!


Anyway mkuu connection basi Kama Kuna kanafasi kokote hapo ni pm nitakufa njaa Sina connection, na Mimi ni junior kwenye tourism industry
Shukrani!
😁😁😁
 
hahahhaaahahahhaaah
Naunga
mkono hoja mkuu wangu Sikupingi Aisee
Hivyo vi bibi vya south vina uswahili Sana Aisee nilikua kwenye resort Moja pale Mangapwani nikashuhudia usemayo!


Anyway mkuu connection basi Kama Kuna kanafasi kokote hapo ni pm nitakufa njaa Sina connection, na Mimi ni junior kwenye tourism industry
Shukrani!
😁😁😁
Suka rasta kwanza ndo uje
 
Kwanini msifanye kwa weledi?mambo ya kutegemea kulala na wageni ni kujidhalilisha tu,mna tofauti gani na wanawake wanaojiuza sasa

Kwanini usitegemee malipo ya kazi yako halali then hilo la tip iwe ziada tu?
Mbona wewe unalala na wenyeji hatuiti kujidhalilisha? Acha kufuatilia michongo ya watu. Sisi tunasaka hela sio weledi
 
Wanaojua hii kazi hakika wanatajirika.

Watu wanatafuta Argent's..tu basi na unaichezea pesa mbaya...

Hii kutaka pesa kwa Chiu..ndio inayofanya mbaki..bakuja miaka yote!

Baadae mashoga wanaongezeka..
 
Back
Top Bottom