Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poa mkuu shukrani!Poa nakuchek
Msingi kiunoNimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ukimpa show Kali anakuachia Dola za maana.
NB: Karibuni wamachinga tusake noti kwenye utalii
View attachment 2043099
Wese lipo muhimu liwe jingi tu....Hivo vibibi mnavigegeda vipi wakati estrogen zimekata wakavu huko chini kuliko kawaida??..au wanakula hormonal replacement therapy kuleta utelezi??
Inasikitisha sana shida zanawafanya vijana kufikia hatua ya kuliwa witi na watalii.Kuna mtu alisema kuwa tour guider ni kujizalilisha ..kule Arusha watalii wamelala waafrica the so called guider wanaimba nyimbo hadi jamaa wapate usingizi wao wakae macho kulinda mabegi ....wazungu wakiondoka wanaaza kutia huruma wachie viatu,sandal,makoti etc..
Wapare wa dunia ya kwanza
Sasa bibi yangu akifanyiwa Hivyo Mimi niteseke na Nini?Bibi yako akifanyiwa ivyo utapenda?
Acha ujinga nenda kwenu kalime mihogo na ili usife njaa kwa mwanaume kudanga na vibibi vizee ni laana ,hakuna siku utafanikiwa.hahahhaaahahahhaaah
Naunga
mkono hoja mkuu wangu Sikupingi Aisee
Hivyo vi bibi vya south vina uswahili Sana Aisee nilikua kwenye resort Moja pale Mangapwani nikashuhudia usemayo!
Anyway mkuu connection basi Kama Kuna kanafasi kokote hapo ni pm nitakufa njaa Sina connection, na Mimi ni junior kwenye tourism industry
Shukrani!
😁😁😁
Wazenj bana halafu ndio mnataka upendeleo kwenye ajira na mambo mengine badala ya kufanya kazi wewe unamuota mke wa BG pambafu sana.Sasa bibi yangu akifanyiwa Hivyo Mimi niteseke na Nini?
Pesa zake,Raha zake na starehe zake nianzaje kuziingilia au unataka wewe ndio upate hiyo nafasi anayopata kijana mwenzio kutoka Kwa bibi Yako?
Anyway hoja sio bibi ni bibi la kizungu Hivi wewe yule bi Melinda gates mfano ndio amekuja kutalii hapa bongo bahati Yako mkapata nafasi ya kuonana na akashoboka utampotezea na kuchezea nafasi hebu kuwa muwazi kijana mwenzangu!
Utuambie hapa tujue misimamo Yako!
😂😂😂😂😂
Hao na wenzao wa Arusha. Wanapenda sana slope za wazungu kwa namna yoyote ile.Wazenj bana halafu ndio mnataka upendeleo kwenye ajira na mambo mengine badala ya kufanya kazi wewe unamuota mke wa BG pambafu sana.
Mwisho wa siku ndo wanakuwa mashogaNi kweli kabisa,hizi tabia za kupenda vya bure sio nzuri
Kwa tamaa hizo hawawezi kuchomoaHivi mkikutana na watalii wakiume si mtabanduliwa nyie kwa tamaa ya dolar
Uko sahihi,kuna takwimu zimetoka wiki iliyopita mashonga ni wengi sana huko Unguja,nadhani mambo ni hayahaya,sasa unadhani likija Libabu lina hela zake wanafanyaje.Mwisho wa siku ndo wanakuwa mashoga
Sasa bibi yangu akifanyiwa Hivyo Mimi niteseke na Nini?
Pesa zake,Raha zake na starehe zake nianzaje kuziingilia au unataka wewe ndio upate hiyo nafasi anayopata kijana mwenzio kutoka Kwa bibi Yako?
Anyway hoja sio bibi ni bibi la kizungu Hivi wewe yule bi Melinda gates mfano ndio amekuja kutalii hapa bongo bahati Yako mkapata nafasi ya kuonana na akashoboka utampotezea na kuchezea nafasi hebu kuwa muwazi kijana mwenzangu!
Utuambie hapa tujue misimamo Yako!
😂😂😂😂😂
hahahaha hakuna Cha kutia huruma Wala Nini Hizo Ndio harakati zetu za kawaida katika upambanaji,kama kibibi mwenyewe amewish kupelekewa moto si tufanyaje mkuu,anapelekewa moto na pesa anatoa tunakuwa tumedouble profit umechakata na pesa unapewa,Sasa Mimi na wewe tuna tofauti wewe so hua unahonga pisi Kali Ili upeleke moto Sasa sisi ni vice versa hatutoi pesa ila tunapewa pesa na kupeleka motoAhaaa kumbe wewe na juma ni wale wale ee. Mnatia huruma sana bandugu