Watanganyika amkeni tujitafakari haraka ! Tunapigwa na kitu kizito

Watanganyika amkeni tujitafakari haraka ! Tunapigwa na kitu kizito

Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Nimesoma kwenye nchi ya Tanzania hadi shahada ya uzamili ndani ya Tanzania. Leo hii nitakuwa kichaaa kudai Tanganyika. Tanganyika ili cease 1964 na sijawahi kupungukiwa kitu kwa kutokuwapo kwa Tanganyika
 
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Wanauwawa na watanganyika wenzao

Tusitafute kuwasingizia wazanzubari
 
Nimesoma kwenye nchi ya Tanzania hadi shahada ya uzamili ndani ya Tanzania. Leo hii nitakuwa kichaaa kudai Tanganyika. Tanganyika ili cease 1964 na sijawahi kupungukiwa kitu kwa kutokuwapo kwa Tanganyika
Zanzibar IPO au haipo?
Uchungu na maumivu yake utakutana nayo wewe au wajukuu zako 2030 na kuendelea
 
Ni kweli kuna tatizo kichwani.
How come Katiba ya Tanzania inawapa Wazanzibar haki zote huku katiba ya Zanzibar haimpi haki Mtanganyika?
Chuo kikuu cha Dar ! Kinatoa wanasheria guli Dunia ,ila kuhusu Zanzibar,hao wanasheria hawasomagi ,upande huo.

Wanasheria ni muda sasa watuambie ukweli kuhusu, Zanzibar, Tanganyika na Tanzania.
 
Zanzibar IPO au haipo?
Uchungu na maumivu yake utakutana nayo wewe au wajukuu zako 2030 na kuendelea
Tanganyika ilikufa kwa kuunda Tanzania ila Zanzibar ni sehemu ya muungano yenye special autonomy (soma kwa kuelewa special autonomy). Tanzania siyo ya kwanza kuwa na mfumo kama huo. Iko Taiwan, Hong-Kong, Wales, Scotland, Northern Ireland, Bermuda, Puerto Rico etc
 
Ni kweli kuna tatizo kichwani.
How come Katiba ya Tanzania inawapa Wazanzibar haki zote huku katiba ya Zanzibar haimpi haki Mtanganyika?
Wewe ndo umefail kuona Motive za Watanganyika wakati huo katiba inaandaliwa...usifikiri Nyerere na hao waliokuwa nae hawakuwa wazalendo kabisa...kaka chini fikiri kwa kina sio kutoa lawama tu...
 
Back
Top Bottom