Master Arcade
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 404
- 658
Sio kweli kaka...unatukosea saaanaWatanganyika wana tatizo kwenye mfumo wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli kaka...unatukosea saaanaWatanganyika wana tatizo kwenye mfumo wa akili
Nimesoma kwenye nchi ya Tanzania hadi shahada ya uzamili ndani ya Tanzania. Leo hii nitakuwa kichaaa kudai Tanganyika. Tanganyika ili cease 1964 na sijawahi kupungukiwa kitu kwa kutokuwapo kwa TanganyikaNina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.
Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.
Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.
Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?
Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.
Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Kama katiba inawatambua Wazanzibar kuwa ni Watanganyika, je, katiba inakutambua wewe Mtanganyika kuwa ni Mzazibar?Acha chokochoko za kibaguzi ndugu...hao wote unaowaita wazanzibar wapo kwa mujibu wa sheria na taratibu ya nchi yetu...
Wanauwawa na watanganyika wenzaoNina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.
Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.
Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.
Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?
Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.
Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Mbona Zenji hawana bendera?
Zanzibar IPO au haipo?Nimesoma kwenye nchi ya Tanzania hadi shahada ya uzamili ndani ya Tanzania. Leo hii nitakuwa kichaaa kudai Tanganyika. Tanganyika ili cease 1964 na sijawahi kupungukiwa kitu kwa kutokuwapo kwa Tanganyika
Sure! Watanganyika sisi ni wapumbavu sana!Wanauwawa na watanganyika wenzao
Ni kweli kuna tatizo kichwani.Sio kweli kaka...unatukosea saaana
sasa kwani hiyo katiba iliandikwa na wazanzibar au watanganyika??? Mbona unawalaumu wazanzibar ikiwa tumefanya wenyewe hayo makosa, au ndo lawama tu bila ya kufikiri?Kama katiba inawatambua Wazanzibar kuwa ni Watanganyika, je, katiba inakutambua wewe Mtanganyika kuwa ni Mzazibar?
Chuo kikuu cha Dar ! Kinatoa wanasheria guli Dunia ,ila kuhusu Zanzibar,hao wanasheria hawasomagi ,upande huo.Ni kweli kuna tatizo kichwani.
How come Katiba ya Tanzania inawapa Wazanzibar haki zote huku katiba ya Zanzibar haimpi haki Mtanganyika?
Tanganyika ilikufa kwa kuunda Tanzania ila Zanzibar ni sehemu ya muungano yenye special autonomy (soma kwa kuelewa special autonomy). Tanzania siyo ya kwanza kuwa na mfumo kama huo. Iko Taiwan, Hong-Kong, Wales, Scotland, Northern Ireland, Bermuda, Puerto Rico etcZanzibar IPO au haipo?
Uchungu na maumivu yake utakutana nayo wewe au wajukuu zako 2030 na kuendelea
Waufute TU,ila ukweli ndio huo.Kabla kuku ajanya tayari uzi ushatoka
HujielewiChuo kikuu cha Dar ! Kinatoa wanasheria guli Dunia ,ila kuhusu Zanzibar,hao wanasheria hawasomaga ,upande huo.
Siwalaumu Wazanzibar bali nawapongeza kwa kuwa na akili timamu. Watanganyika ndio wajingasasa kwani hiyo katiba iliandikwa na wazanzibar au watanganyika??? Mbona unawalaumu wazanzibar ikiwa tumefanya wenyewe hayo makosa, au ndo lawama tu bila ya kufikiri?
Kama unakubali kuitwa MTANGANYIKA, nchi ambayo haipo, kweli wewe ni MPUMBAVUSure! Watanganyika sisi ni wapumbavu sana!
Wewe ndo umefail kuona Motive za Watanganyika wakati huo katiba inaandaliwa...usifikiri Nyerere na hao waliokuwa nae hawakuwa wazalendo kabisa...kaka chini fikiri kwa kina sio kutoa lawama tu...Ni kweli kuna tatizo kichwani.
How come Katiba ya Tanzania inawapa Wazanzibar haki zote huku katiba ya Zanzibar haimpi haki Mtanganyika?
Mwaka 2000 waliuliwa kwa amri ya Tanganyika kuke kwaoSheria zipi? Mbona kule kwao hatupo,wanaishi,kwetu unasema Sheria za nchi?
Wewe huwalaumu lakini mtoa mada ...analaumuSiwalaumu Wazanzibar bali nawapongeza kwa kuwa na akili timamu. Watanganyika ndio wajinga