Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umewaza jambo jema sn mkuu tuamke haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You know that Samia and Mwinyi (RIP) became presidents of the URT by virtue of the constitution, and still you dare write this bulshit. Imbecile at your excellencyKuna GOP wengi sana ambao ni bumpkins kama wewe, sometimes charter never change with what level of education you have! Big difference if we were only Tanganyikans! Zanzibar has big influence especially after the 1977 constitution amendment. Ingekuws siyo hiyo Mwinyi na Samia hawangekuwa Rais na hatungekuwa hapa. Big influence
Mwenyekiti wa CHADEMA ni mchaga alafu analazimisha makabila mengine zaidi ya 120 ambao sio wachaga tuandamane!!! Hii ni akili au tope?Makao makuu ya jeshi la polisi Yako Tanganyika,waziri wake Yuko Unguja? Mbona hatuelewi,au tumelogwa?
Kwa nini hamna mkuu?Hamna kitu kinaitwa Tanganyika bwana!! Acheni kukaririshwa na wanaharakati uchwara
Kuna wilaya ya Tanganyika iko mkoa wa Katavi na kijiji kimoja kati ya Muheza na Pongwe unapokwenda Tanga.Kwa nini hamna mkuu?
sasa kama shida ndo hii tatizo sio zanzibar??? inaonekana kwa upande wako ni uislamu ambapo hapa si mahali pake kujadili labda ufungue uzi wa kidiniMkristo hawezi kumwita Muislam Kafir, it is opposite. Ni muislam tu wa Bara atamwita mtu mwingine ni Kafir (asiye muislam). Hii ni kujitofautisha na wengine.
Nonsense and irrelevant argumentKuna GOP wengi sana ambao ni bumpkins kama wewe, sometimes charter never change with what level of education you have! Big difference if we were only Tanganyikans! Zanzibar has big influence especially after the 1977 constitution amendment. Ingekuws siyo hiyo Mwinyi na Samia hawangekuwa Rais na hatungekuwa hapa. Big influence
Mabomu, bunduki, tunanunua Kwa Kodi za watanganyika,ili yatumike ,wanao amuru yatumike ni watu WA visiwani,wenye rais wao na katiba yao! Mbona hatuelewit. Mtaelewa mkiamua kuelewa
unajua ninyi msichokielewa ni kwamba wazanzibar whether ni wabaguzi au si wabaguzi lakini wapo kwenye Muungano kwa mujibu wa sheria ...hata hizo privilages mnazolalamikia wanazipata zipo kwa mujibu wa sheria. kumkubali mtu au kumkataa ni suala la mtu husika na halihitaji mjadala...hata hapa bara pia baadhi ya makabila hayakubaliani ni mambo ya kawaida tuNi mjinga pekee anaweza kuwakubali wazanzibar na wakati wazanzibar ni wabaguzi wakubwa haswa
Ndiyo tunataka huu muungano fake uvunjwe haraka hauna faida kwa mtu wa bara hauko sawaunajua ninyi msichokielewa ni kwamba wazanzibar whether ni wabaguzi au si wabaguzi lakini wapo kwenye Muungano kwa mujibu wa sheria ...hata hizo privilages mnazolalamikia wanazipata zipo kwa mujibu wa sheria. kumkubali mtu au kumkataa ni suala la mtu husika na halihitaji mjadala...hata hapa bara pia baadhi ya makabila hayakubaliani ni mambo ya kawaida tu
Nchi mbili ambazo ni Zanziba na Tanganyika ziliungana kuunda jamhuri ya muungano ya Tanzania. Kwa haraka haraka waweza kusema Tanzania siyo nchi.Hamna kitu kinaitwa Tanganyika bwana!! Acheni kukaririshwa na wanaharakati uchwara
Zanzibar imeungana ila Ina katiba yake na Rais wake.Nchi mbili ambazo ni Zanziba na Tanganyika ziliungana kuunda jamhuri ya muungano ya Tanzania. Kwa haraka haraka waweza kusema Tanzania siyo nchi.
Zanzibar wanataka kuitawala TanganyikaWale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo
Huu ni uchochezi wa kipumbavu kabisa!!! kwahiyo kwa unavyosema si haki kiongozi kutoka ZNZ kwa kuwa wenyewe ni wachache lakini haki ni wao kutawaliwa tu? si ndio?Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.
Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.
Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.
Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?
Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.
Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Wanatawaliwa na nani! Katiba wanayo,Rais wanae,Baraza la mawaziri mnalo!Huu ni uchochezi wa kipumbavu kabisa!!! kwahiyo kwa unavyosema si haki kiongozi kutoka ZNZ kwa kuwa wenyewe ni wachache lakini haki ni wao kutawaliwa tu? si ndio?
Huu ni uchochezi na watu kama wewe mkiachiwa ndo mnaotuharibia nchi!!!
Kama hauna akili. Wenye akili wanaangalia nani ana kiti kule UNNchi mbili ambazo ni Zanziba na Tanganyika ziliungana kuunda jamhuri ya muungano ya Tanzania. Kwa haraka haraka waweza kusema Tanzania siyo nchi.
Wamejaa watanganyika kule, hata rais wao ni mtanganyika pia,Sheria zipi? Mbona kule kwao hatupo,wanaishi,kwetu unasema Sheria za nchi?