milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
- Thread starter
- #81
Hizo ni ndoto!Wamejaa watanganyika kule, hata rais wao ni mtanganyika pia,
Labda ulikua hujui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni ndoto!Wamejaa watanganyika kule, hata rais wao ni mtanganyika pia,
Labda ulikua hujui?
Huna hoja? Unahamisha magoli?Hizo ni ndoto!
Kama hauna la kuandika ni bora unyamaze, kwani wakati Mkapa anatoa ruksa jeshi kuvuka maji kwenda kuua watu Zanzibar yeye alikuwa ni Mzanzibari? Tanganyika ni nchi mfu acha kujichekeshaNina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.
Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.
Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.
Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?
Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.
Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Hii ni Tanganyika na sio Tanzania Bara!Hamna kitu kinaitwa Tanganyika bwana!! Acheni kukaririshwa na wanaharakati uchwara
Nani kakwambia Zenji hawana bendera!??Mbona Zenji hawana bendera?
Mbona ya Taiwan na Hong Kong hayafanani na ya Tanzania na Zanzibar!??Tanganyika ilikufa kwa kuunda Tanzania ila Zanzibar ni sehemu ya muungano yenye special autonomy (soma kwa kuelewa special autonomy). Tanzania siyo ya kwanza kuwa na mfumo kama huo. Iko Taiwan, Hong-Kong, Wales, Scotland, Northern Ireland, Bermuda, Puerto Rico etc
Huyo anaonekana amelewa wanzuki achana naye.Mumeo, kwanini hutaki kujibu hoja dada angu? tuambie lini ulienda Moshi ukazuiwa kununua ardhi? acha upumbavu amka, nenda Zanzibar ukagombee au uombe kitambulisho cha mkazi tuone.
Ni mwenda wazimu pekee anaweza kukubaliana na wazanzibarHuyo anaonekana amelewa wanzuki achana naye.
Mzanzibari akija Bara anapata haki zote kiwepesi hata akiwa na kitambulisho cha mkazi wa Zanzibar Bara anapata kazi na ananunua ardhi.
Nenda wewe mbara Zanzibar leseni tu kama ya bara hauruhusiwi kuitumia Zanzibar.
Kuhusu kazi wanapewa kipaumbele wenye kadi za mkaazi wa Zanzibar.
Kununua ardhi Zanzibar wewe mbara sahau.
Halafu huyo sijui anaongea utumbo gani.
Mara kibao mie nimeenda na nimeitembea sana.Ni mwenda wazimu pekee anaweza kukubaliana na wazanzibar
Sisi bara hatuna akili maana tumekuwa koloni la Zanzibar ni aibu kubwa snMara kibao mie nimeenda na nimeitembea sana.
Mbara hupewi kipaumbele kama mzenji.
Ila huku TZ mzenji anapewa access sawia na mbara pasi na upunjo wowote.
Hili tulitizame aisee.
Nchi ipi hiyo Mkuu Tanganyika au Zanzibar?Acha chokochoko za kibaguzi ndugu...hao wote unaowaita wazanzibar wapo kwa mujibu wa sheria na taratibu ya nchi yetu...
Leta NIDA yako tuone imeandikwa niniHii ni Tanganyika na sio Tanzania Bara!
Tofauti iko wapi? Weka hapa unachojuwa nami nitakujibuMbona ya Taiwan na Hong Kong hayafanani na ya Tanzania na Zanzibar!??
Mkuu unaelewa hata unachoeleza!?
CHADEMA watoa tamko baada ya viongozi wake kukamatwa wakiandamana: "Polisi wametumia nguvu kupita kiasi"
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana. Tamko la CHADEMA linakuja saa chache tangu viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Godbless Lema kutiwa...www.jamiiforums.com
Hong kong toka miaka ya nyuma inaitwa vivyo hivyo na China toka kipindi cha Qing na Ming Dynasty inajulikana ni China.Tofauti iko wapi? Weka hapa unachojuwa nami nitakujibu