Watanganyika amkeni tujitafakari haraka ! Tunapigwa na kitu kizito

Watanganyika amkeni tujitafakari haraka ! Tunapigwa na kitu kizito

Wacha myooshwe mwaka huu watu wanalipiza kisasi in direct, Wazanzibari waliuliwa sana na Watanganyika mfano January 2001, mpaka tukitoka
Madarakani 2035 tutakua tushawanyoosha vilivyo
 
Wacha myooshwe mwaka huu watu wanalipiza kisasi in direct, Wazanzibari waliuliwa sana na Watanganyika mfano January 2001, mpaka tukitoka
Madarakani 2035 tutakua tushawanyoosha vilivyo
 
Acha chokochoko za kibaguzi ndugu...hao wote unaowaita wazanzibar wapo kwa mujibu wa sheria na taratibu ya nchi yetu...
Hiyo Katiba ya nchi inayowaweka ndo hiyo hiyo inakataza utekaji,kuua.Pia usisahau ndo hiyo hiyo inaruhusu watu kuandamana na kutoa maoni yao.
 
Acha chokochoko za kibaguzi ndugu...hao wote unaowaita wazanzibar wapo kwa mujibu wa sheria na taratibu ya nchi yetu...
Mimi nafkl ili nizaidi ya utanganyika na uzanzibar. Ni swala la roho ya mtu ilivyo maana Mm kama mtanzania ata ukinipeleka uingereza kuwa waziri mkuu kama sina roho ya kutotenda haki siwezi kuwanyanyasa au kuuwa waingereza kwa sababu nina hofu na Mungu. Mtu mwenyewe ata kuchinja kuku na kimbia itakua kutoa roho ya mtu?
 
Hiyo Katiba ya nchi inayowaweka ndo hiyo hiyo inakataza utekaji,kuua.Pia usisahau ndo hiyo hiyo inaruhusu watu kuandamana na kutoa maoni yao.
Kwamba unahalalisha kosa moja kwa kuwa huwa kuna makosa mengine yanatokea? sikiliza brother kama wewe ni mpenda haki kweli pinga kila lililokosa linalovunja sheria sio kulibeba lifurahishayo moyo wako na kuchukia kosa usilolipenda...
 
Kama unakubali kuitwa MTANGANYIKA, nchi ambayo haipo, kweli wewe ni MPUMBAVU
Huna akil unazani zanzibar wakijitoa kwenye muungano hilo jina unalosema halipo utalitafuta tu
 
Hong kong toka miaka ya nyuma inaitwa vivyo hivyo na China toka kipindi cha Qing na Ming Dynasty inajulikana ni China.
Ni wapi palibadilika jina kama Tanganyika kuwa Tanzania baada ya muungano!??
Wewe unaangalia jina, mimi naangalia madaraka waliyonayo. Akili yako ni ngumu kutafakari
 
Huna akil unazani zanzibar wakijitoa kwenye muungano hilo jina unalosema halipo utalitafuta tu
Subiri wajitoe kama wanaweza

Kwani lazima lirudi hilo? Au unadhani kulikuwa hakuna majina mengine kabla ya hilo.
 
Wewe unaangalia jina, mimi naangalia madaraka waliyonayo. Akili yako ni ngumu kutafakari
Basi huelewi hata nini unajibu.
*Kihistoria Hong kong ilikua sehemu ya China toka kipindi cha dynasties.
Uingereza tu ndio ilipoleta utawala wake ndio ikaitenga Hong Kong na 1992 kama sijakosea ikarudishwa China.
Pia Hong Kong hawana raisi hawatumii raisi kama Zanzibar.
China na Hong kong hawajaungana kama Zanzibar na Tanganyika.
Toka zamani Hong Kong ni sehemu ya China.
Na ilirudishwa hawakuunda muungano.
 
Nchi yetu ni Tanzania...Tanganyika practically haiexist tangu 1964
Kwani Tanzania ilitokqna na nchi ngapi kuungana?
Kwa waliosoma wanaelewa hata muunganiko wa hilo jina Tanzania.
Je unajua kuna serikali ya mapinduzi ya Zanzibar? Na ina Rais wake, katiba yake, Bunge lake, mahakama yake nk.
Hebu wafafanulie huo muungano unaousema wewe.
 
Umeona sasa🤣
Tumekaa na chuo kikuu cha UDSM kuzalisha wasomi tangu 1972 Hadi Leo,wasomi hao hawaelewi!!!
Chuo hicho kinaonyesha hakijatusaidia hata kidogo!
 

Attachments

  • 5831970-d9dd68fad587f9f23a1980e0586fcfc1.mp4
    13.1 MB
Basi huelewi hata nini unajibu.
*Kihistoria Hong kong ilikua sehemu ya China toka kipindi cha dynasties.
Uingereza tu ndio ilipoleta utawala wake ndio ikaitenga Hong Kong na 1992 kama sijakosea ikarudishwa China.
Pia Hong Kong hawana raisi hawatumii raisi kama Zanzibar.
China na Hong kong hawajaungana kama Zanzibar na Tanganyika.
Toka zamani Hong Kong ni sehemu ya China.
Na ilirudishwa hawakuunda muungano.
Umekosea. Hong-Kong ilirudishwa China mwaka 1997 baada ya kuwa chini ya UK kwa miaka 156. Na yenyewe ni Special Administrative Region ya China. Ndiyo maana nakuambia kuwa ina autonomy yake kwenye baadhi ya mambo ambayo hayako China Mainland.

Japo nao wamekuwa wakitaka kujitenga kutoka China ili wawe nchi huru
 
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika.

Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia.

Wale wanaoamuru polisi wa Tanganyika kuwapiga na kuuwa watanganyika ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Rais wote kutoka Zanzibar.

Hivyo, watakaoumia na kufa ni watanganyika! Je, kweli huu muungano unafanya kazi? Je, polisi wa Tanganyika wanaelewa ujumbe wangu?

Ni jambo la kushangaza kuona watu milioni 1.5 kutoka Zanzibar wakitoa amri kwa kutumia jeshi linalotokana na watanganyika milioni 60 kuuwa watu milioni 60.

Hii si sawa! Je, hii ni haki? Tunahitaji kujadili kwa kina masuala haya na kuhakikisha haki inapatikana kwa wote bila kujali asili au eneo.
Sasa hivi inatakiwa Wahuni wa Tanganyika waanze kupita na Wazanzibari,si wapo kibao tu hapo Dar,alafu tuone kama Bi.Kizimkazi atasema ni Drama!
 
Back
Top Bottom