Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
-
- #121
Utahangaika sana ndugu, Dubai sio state, kitendo cha kusaini nayo mkataba kama state party ni void ab initioUnaelewa kwamba serikali ya nchi inaweza kufanya devolvement of full instruments of power na kuipa serikali ya chini yake nguvu za kuingia mikataba ya kimataifa?
Devolvement - Definition, Meaning & Synonyms
the delegation of authority (especially from a central to a regional government)www.vocabulary.com
devolvement
Definitions of devolvement
noun
the delegation of authority (especially from a central to a regional government)
Mkataba wa IGA si lazima entity iwe state.Utahangaika sana ndugu, Dubai sio state, kitendo cha kusaini nayo mkataba kama state party ni void ab initio
Nijuavyo mimi Dubai ni sehemu ya The emirates, hivyo inaweza kusaini mikataba ya kimataifa kama tu itapata idhini ya The emiratesWatu wengi wanafikiri kwamba IGA ni mkataba kati ya nchi na nchi.
Hawaelewi kwamba government ( the G in IGA) hata kijiji kinaweza kuwa na government.
Hawaelewi suala la devolvement of full instruments of power from the state government to a lower government inakuwaje.
Hii ndiyo sababu inayowafanya watu waseme Dubai si nchi, hivyo haiwezi kusaini mkataba na Tanzania.
Ni kukosa kuelewa IGA ni nini, na kukosa kuelewa devolvement of full instruments of power from a state government to a lower government inavyoweza kuwa.
Mkataba una point nyingi za kuukataa na kuukosoa. TLS wamezichambua.
Lakini hii habari ya "Dubai si nchi, hivyo mkataba ni batili" si hoja.
Wagalatia hamjitmbuiDubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.
Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika
Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
Exactly.Nijuavyo mimi Dubai ni sehemu ya The emirates, hivyo inaweza kusaini mikataba ya kimataifa kama tu itapata idhini ya The emirates
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwakuwa Dubai hawaweka wazi ruhusa yake toka UAEExactly.
Sasa kwa nini watu wanasema kuwa Dubai si nchi, na hivyo haiwezi kusaini mikataba ya kimataifa?
Wakati inaweza kupata idhini ya UAE na kusaini mikataba ya kimataifa.
Hapa kitu kigumu kuelewa ni kipi?
Au watu wanataka kulazimisha wanachotaka wao tu, bila kujali ukweli wa mambo?
Lakini mkataba mzima haujawekwa wazi, hata tulivyoupata tumeupata kwa ku leak tu, na mkataba una kipengele cha usiri.
Lengo la hizi post zenu ni kuharibu kesi iliyopo mahakamani kwamba Mahakama itoe uamuzi unaolenga kuonesha haishinikizwi na social medias.Dubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.
Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika
Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
Mtuuumee rasulllllUnawaza makalio tu, bila shaka wanakupiga miti huko, pathetic
Mkuu,Lengo la hizi post zenu ni kuharibu kesi iliyopo mahakamani kwamba Mahakama itoe uamuzi unaolenga kuonesha haishinikizwi na social medias.
Mnatuharibia sana sana nyie vibaraka.
Tupambanie rasilimali zetu na heshima ya nchi.
Ambaye hajaelewa dhima ya hii post yako ataona kana kwamba nawe unapambania bandari
Lakini mkataba mzima haujawekwa wazi, hata tulivyoupata tumeupata kwa ku leak tu, na mkataba una kipengele cha usiri.
Sasa UAE/ Dubai wataweka vipi wazi mambo ya mkataba wakati wao wenyewe wanataka mkataba uwe wa siri?
Tatizo watu wengi wanaujadili mkataba bila ya kuusoma.Kumbe hadi kwenye mkataba wamekubaliana uwe wa siri?!
Kwanini iwe Siri rasilimali yenye maslahi ya Umma ?!
Kipengele hicho tu chaweza kuonesha kuwa kuna hila mbaya na nia ovu.
Lakini wajue Mwenyezi Mungu amekataa Ndiyo mambo yamekuwa hadharani.
Tanzania ilisaini mkataba wa Montevideo, kuingia mkataba na na nchi ambazo hazina hadhi ya kuingia mikataba ya kimataifa ni makosa. Hivyo huu mkataba ni batiliMkuu,
Hii point ya "Dubai si nchi" itatupiliwa mbali na jaji yeyote anayejua sheria.
Kwanza hili ni suala la UAE kulalamika, kama UAE haijalalamika, sisi hatuna haki ya kulalamika. Tutalalamika kama nani wakati ikiwa Dubai imeingia mkataba kinyemela aliyevunjiwa haki ni UAE?
Yani ni hivi, serikali ya UAE ingefungua kesi dhidi ya serikali ya Dubai, katika mahakama ya Tanzania, kusema kwamba serikali ya Dubai imeingia mkataba na serikali ya Tanzania, bila ya idhini ya serikaLi ya UAE, hapo kungekuwa na kesi ya kusikilizwa.
Au kungekuwa hata na malalamiko kutoka serikali ya UAE, kuwa Dubai imeingia mkataba kinyemela na Tanzania, then hayo malalamiko yangeweza kutumiwa kuanzisha kesi, kusema kuwa Dubai imeingia mkataba kinyemela.
Sasa wewe Mtanzania unalalamikaje Dubai si nchi wakati UAE wenyewe hawajalalamika? Wakati serikali yako yenyewe imeridhika?
Unalalamika Dubai si nchi, wakati Emir wa Dubai ni Prime Minister na Vice Emir wa UAE?
Hivi kweli hapo unafikiri Dubai inaweza kuingia mkataba mkubwa kama huu bila idhini ya UAE?
Unafikiri wanasheria wapigaji wa kimataifa, economic hitmen wale wa DPW ni wajinga hivyo?
Mkataba mbaya, una mengi ya kupinga, lakini hii habari ya "Dubai si nchi" itapigwa chini tu. Na hata jaji aki entertain hili, atakachofanya ni kutaka uthibitisho kwamba UAE imeipa idhini Dubai kuingia mkataba wa IGA na Tanzania. UAE ikithibitisha hilo tu, hili dai linakuwa halina nguvu. Linatupiliwa mbali
Watu wanakuwa wamepoteza muda na nishati kwa dai la null and void ya fantasy.
Yani hamshangai UAE haijalalamika Dubai imeingia mkataba na Tanzania, wabongo wanataka kulazimisha Dubai haikupewa nguvu za kuingia mkataba?
Watu wanapenda sana kujifariji kwa kujipa ushindi wa mitandaoni.
Huu mkataba umeitambua dubai kama state, jambo ambalo ni kosa na ndio maana ni batiliMkataba wa IGA si lazima entity iwe state.
Inaweza kuwa non state government.
Nimekupa mfano wa Hong Kong. Hong Kong si state, lakini imeingia IGA na USA, ambayo ni state.
Same way Dubai si state, imengia IGA na Tanzania ambayo ni state.
IGA si Inter State Agreement. Ni Inter Government Agreement.
Usichanganye mambo.
As long as state entity imetoa idhini, hata serikali ya kijiji cha UAE inaweza kuingia IGA na serikali ya Tanzania.
IGA ya serikali ya Hong Kong (non state government) na USA (state government) hii hapa kama ushahidi.
Sasa mbona huna akili hata kidogo kuhusu Dubai? Dubai ina kiti UN? Kuna balozi wa Dubai hapa!? Hiyo haki ya kusaini mikataba umeshaiona kwamba UAE aliwapa hao Dubai? Nitajie jina la aliyesaini mkataba upande wa Dubai. Tumia kichwa kuwa sio kama dispenser ya mate nyau weweMimi siukubali mkataba, mkataba una matatizo mengi.
Lakini, hii hoja ya "Dubai sio state" ni hoja mufilisi.
Dubai ni Emirate ya UAE. UAE ina mamlaka ya kuipa uwezo Dubai kuingia mkataba kama huu na nchi nyingine.
Ingekuwa UAE inalalamika kwamba Dubai imeingia mkataba huu kinyemela, hapo ungekuwa na point.
Lakini, UAE ina uwezo wa kuipa idhini Dubai iingie mkataba huu, na haijalalamika, zaidi, UAE inafanya kazi pamoja na Dubai kufanikisha biashara za DPW.
Hivi, unafikiri wanasheria wa DPW ni wajinga waingie mkataba huu bila kupata idhini ya UAE?
Na kama mkataba una idhini ya UAE, serikali za UAE na Tanzania zimeikubalia Dubai kuingia mkataba, uharamu wake unatoka wapi?
You are so dense it is not funny.Tanzania ilisaini mkataba wa Montevideo, kuingia mkataba na na nchi ambazo hazina hadhi ya kuingia mikataba ya kimataifa ni makosa. Hivyo huu mkataba ni batili
Sasa mbona huna akili hata kidogo kuhusu Dubai? Dubai ina kiti UN? Kuna balozi wa Dubai hapa!? Hiyo haki ya kusaini mikataba umeshaiona kwamba UAE aliwapa hao Dubai? Nitajie jina la aliyesaini mkataba upande wa Dubai. Tumia kichwa kuwa sio kama dispenser ya mate nyau wewe
Mkataba umeitambua Dubai kama state wapi na kwa muktadha gani?Huu mkataba umeitambua dubai kama state, jambo ambalo ni kosa na ndio maana ni batili
Soma preamble ya mkataba. Wewe ni bumunda unachanganya mambo kibao.Mkataba umeitambua Dubai kama state wapi na kwa muktadha gani?
Unajua makubalianonya delolvement of full instrumenys if national power kati ya UAE na Dubai kwenye mkataba huu?
Marekani kuna states 50, lakini hazina full instruments of national power kwa muktadha wa Montevideo Convention.
Mimi siukubali mkataba, mkataba una matatizo mengi.
Lakini, hii hoja ya "Dubai sio state" ni hoja mufilisi.
Dubai ni Emirate ya UAE. UAE ina mamlaka ya kuipa uwezo Dubai kuingia mkataba kama huu na nchi nyingine.
Ingekuwa UAE inalalamika kwamba Dubai imeingia mkataba huu kinyemela, hapo ungekuwa na point.
Lakini, UAE ina uwezo wa kuipa idhini Dubai iingie mkataba huu, na haijalalamika, zaidi, UAE inafanya kazi pamoja na Dubai kufanikisha biashara za DPW.
Hivi, unafikiri wanasheria wa DPW ni wajinga waingie mkataba huu bila kupata idhini ya UAE?
Na kama mkataba una idhini ya UAE, serikali za UAE na Tanzania zimeikubalia Dubai kuingia mkataba, uharamu wake unatoka wapi?