saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
we siku hiyo ndio utajiharishiaTuliza kalio na shono, subiri hukumu tar 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we siku hiyo ndio utajiharishiaTuliza kalio na shono, subiri hukumu tar 7
Hilo ni suala ambalo Dubai inaweza kupata idhini ya UAE na kuingia mikataba ya kimataifa.Dubai kama Zanzibar haina capacity ya kuingia mikataba ya kimataifa
mahakama gani nchi hii itapinga jambo lenye maslahi makubwa ktkt Taifa? Watu wamechanganyikiwa tusiku ya hukumu utabaki mdomo wazi. ukiona mahakama kama inakupenda kama ilivyofanya kwa mwabukusi, subiri surprise.
Soma post namba 73.we unaielewa mbona hujaielezea
Na iwe hivyo ktk jina la Yesu!Dubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.
Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika
Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
Labda kama hao majaji hawajipendi, ndiyo Mwabukusi et al watashinda.Dubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.
Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika
Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
Sasa matusi ya nn tena!? tunapaswa tuwe wamoja ktk hili!!Unawaza makalio tu, bila shaka wanakupiga miti huko, pathetic
Sasa mikataba ya kimataifa lazima iwe ratified na bunge la taifa. Wewe ni bumunda ambaye hujui kitu. Kama dubai dio state, wapi UAE waliridhia hii kitu ya Dp?Hilo ni suala ambalo Dubai inaweza kupata idhini ya UAE na kuingia mikataba ya kimataifa.
Hata Zanzibar inaweza kuingia mikataba ya kimataifa kwa idhini ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Nimekupa mfano wa Hong Kong hapo juu.
Hong Kong si state, lakini imeingia IGA na USA mwaka 2020.
Link hii hapa chini.
Unasoma au unapenda ubishi tu?
Wewe muhafidhina tuliaMashudu.
Sisi kama nchi kwa nini tuingie mkataba na mkoa wa UAE?Kuna hoja za kupinga mkataba.
Zipo nyingi tu, nzuri tu.
Lakini hii ya kusema mkataba ni batili kwa sababu Dubai si nchi, hii si hoja yenye mashiko.
Hii inaonesha watu kutojua mambo tu.
Wewe ndiye zuzu, kwa sababu huu mkataba umeshakuwa ratifued.Sasa mikataba ya kimataifa lazima iwe ratified na bunge la taifa. Wewe ni bumunda ambaye hujui kitu.
Sisi kama nchi tunaweza kuingia mkataba hata na kampuni ya mtu binafsi, achilia mbali mkoa wa UAE.Sisi kama nchi kwa nini tuingie mkataba na mkoa wa UAE?
Bunge la Tanzania limeridhia huu mkataba kimakosa, hili lipo wazi, kila kitu wameburuzwa. Huwenzi kuingia mkataba mkataba na taifa ambalo halipoWewe ndiye zuzu, kwa sababu huu mkataba umeshakuwa ratifued.
Point yako nini hapa?
Ungekuwa na point kama mkataba huu ungekuwa haujawa ratified.
Unajua hata unachotakankusema ni kipi?
Unasema mikataba yabkimataifa ninlazima iwe ratified na bunge la taifa.
Huu mkataba umekuwa ratified na bunge la taifa.
Kwa definition yako huu ni mkataba wa kimataifa. Ama sivyo bunge lisinge u ratify.
Unaelewa hata wewe mwenyewe unataka kusema nini?
Wewe huna akili, tofautisha mkataba wa nchi na nchi na usen... WakoSisi kama nchi tunaweza kuingia mkataba hata na kampuni ya mtu binafsi, achilia mbali mkoa wa UAE.
Hujui kitu kwenye haya mambo.
hiyo imeshapita watu watafute kazi nyinginem imebaki tu utekelezaji na wananchi wameshaelewa wamebaki hao keyboard warrroirs hao ni watu wakulalamika maisha yao yote hata ije serikali gani. Mfano mtu km Lissu yale ndio maisha yake ni serikali ipi amewahi kuisapoti. Yule ni kibaraka tu anayeweza kuikimbia nchi wakati wowoteWanaolalamikiwa wanaweza kusema wanatunza kifungu cha mkataba cha usiri, hawana haja ya kuongelea zaidi, mkataba ushapita bungeni.
Ndiyo maana kila siku unawasikia wanasema "Serikali inasikiliza maoni yenu na itayafanyia kazi".
Ndiyo maana mpaka leo hujamsikia rais kuuongelea mkataba in detail.
Eti Zanzibar inaweza kuruhusiwa kuingia mkataba wa kimataifa . We fala umesahau suala la Oic? We pimbi huna akili zaidi ya kumiliki simu na kujamba tuKuna hoja za kupinga mkataba.
Zipo nyingi tu, nzuri tu.
Lakini hii ya kusema mkataba ni batili kwa sababu Dubai si nchi, hii si hoja yenye mashiko.
Hii inaonesha watu kutojua mambo tu.
Acha ujinga ishu ipo mahakamanihiyo imeshapita watu watafute kazi nyinginem imebaki tu utekelezaji na wananchi wameshaelewa wamebaki hao keyboard warrroirs hao ni watu wakulalamika maisha yao yote hata ije serikali gani. Mfano mtu km Lissu yale ndio maisha yake ni serikali ipi amewahi kuisapoti. Yule ni kibaraka tu anayeweza kuikimbia nchi wakati wowote
IGA si mkataba wa taifa na taifa.Bunge la Tanzania limeridhia huu mkataba kimakosa, hili lipo wazi, kila kitu wameburuzwa. Huwenzi kuingia mkataba mkataba na taifa ambalo halipo