Watanganyika msihofu bandari zenu zitarudishwa mikononi mwenu na mahakama mkataba uloridhiwa na Bunge ni Void ab initio

Watanganyika msihofu bandari zenu zitarudishwa mikononi mwenu na mahakama mkataba uloridhiwa na Bunge ni Void ab initio

Mbona unajichanganya braza, unatetea usichokijua mara imevujishwa sasa kitu kilichovujishwa uwa haina uhalisia mbona unaitetea?

Tanganyika hamko serious nyie ujinga umewatawala aise
Unaweza kufuatilia mada point kwa point?

Maana kama huwezi, hilo ni tatizo lako, si langu.

Nakwambia hivi, hoja ya "Dubai si nchi, hivyo mkataba ni null and void" haina mashiko.

Kwa sababu IGA haihitaji Dubai iwe nchi.

Dubai inaweza kuwa kijiji halafu ikasaini IGA na Tanzania.

Hilo umelielewa kwanza?

Twende point moja baada ya nyingine.
 
Nenda kasome mkataba wa Montevideo. Sio unadandia mada wakati kichwani ni bumundaView attachment 2702644

Nikasome mkataba wa Montevideo kifungu cha ngapi? Kwa sababu gani? Una prove point gani?

Wewe mwenyewe unaponiambia nikasome mkataba wa Montevideo unaelewa unataka kunielimisha kitu gani?

Au unakuwa kama kasuku tu aliyemsikia mtu, anarudia kusema maneno ambayo hata yeye mwenyewe huyo kasuku hayaelewi?

Usilete hoja kwa kumkariri mtu bila kuweza kuzielezea.

Umuhimu wa state ni nini hapa? Kwa nini hoja ya state ni muhimu?

Nakwambia hivi, what is the relevanve of a state in this discussion?

An IGA is an Inter Governmental Agreement.

Inter Governmental Agreement. Not International Agreement. Not Inter State Agreement.

Hata serikali ya kijiji inaweza kusaini IGA.

Marekani serikali za wilaya na serikali za majimbo zinasaini IGA.

Hong Kong si state, imesaini IGA.

What is your point kuleta definition ya state?

Sasa kwa nini unang'ang'ania mambo ya state?
 
Nakwambia hivi, what is the relevanve of a state in this discussion?

An IGA is Inter Governmental Agreement.

Inter Governmental Agreement. Not International Agreement. Not Inter State Agreement.

Hata serikali ya kijiji inaweza kusaini IGA.

Marekani serikali za wilaya nanserikali za majimbo zinasaini IGA.

Sasa kwa nini unang'ang'ania mambo ya state?
Wewe ni mpumbavu
 
Wewe ni mpumbavu
Usinikashifu, weka point.

Ukinikashifu tu bila kuweka point umefanya logical fallacy.


Hii logical fallacy inaitwa "ad hominem attack".

Yani, unaacha kujadili hoja, unamtukana mtoa hoja.

Hii ni dalili ya kukosa hoja.

Nimekuuliza maswali, umeshindwa kuyajibu.

Nimekupa hoja, umeshindwa kuzipangua.

Unakariri mambo kama kasuku. Unasema "Soma Montevideo Convention. Soma Montevideo Convention".

Nakuuliza kifungu gani? Umuhimu wake uko wapi? Kwa nini nisome? Nikisoma hoja zangu zitapingika wapi?

Hata huna jibu. Hujui kwa nini unaniambia nisome Montevideo Convention.

Kwa sababu umekariri tu "Montevideo Convention", hata wewe mwenyewe hujaisoma.

Ndiyo maana nikikuuliza maswali huwezi kujibu.

Unaitaja "Montevideo Convention" kama kasuku anayekariri maneno asiyoyaelewa maana yake.

Inaonekana huna hoja. Una kashfa.

Una logical fallacy ya ad hominem attack tu.
 
Usinikashifu, weka point.

Ukinikashifu tu bila kuweka point umefanya logical fallacy.


Hii logical fallacy inaitwa "ad hominem attack".

Yani, unaacha kujadili hoja, unamtukana mtoa hoja.

Hii ni dalili ya kukosa hoja.

Nimekuuliza maswali, umeshindwa kuyajibu.

Nimekupa hoja, umeshindwa kuzipangua.

Inaonekana huna hoja. Una kashfa.

Una logical fallacy ya ad hominem attack tu.
Wewe kama sio mpumbavu nini? Unashindwa kujua kuwa Dubai ni sehemu ya UAE na sio state.
 
Montevideo convetion on statehood
Montevideo Convention on statehood wapi imekataza non state governments kusaini Inter Governmental Agreements?

Weka hicho kifungu hapa.

Unaelewa kwamba a government does not need to be a state's government right?

Unaelewa kwamba Hong Kong si state na imesaini IGA right?

Soma IGA ya Hong Kong na USA hapa.



Hong Kong FATCA Agreement (IGA) with the United States


Is Hong Kong a State?

Did it sign an IGA with the USA?
 
Dubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.

Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika

Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
Umeacha kuwa kada na chawa lini ?!. Au ni bandari imekutoa nyongo !!. Hayo ndiyo tumekuwa tukiyapinga huku mkitubeza . Ccm na genge lao ni wezi. Bi mkubwa alivyoona kalikoroga ameamua kulikabidhi chama uvundo.

Hata hivyo hakuna mwenye imani na mahakama ambazo Rostam anasema kweli kuwa kwa simu moja tu haki inapindishwa.
 
Montevideo Convention on statehood wapi imekataza non state governments kusaini Inter Governmental Agreements?

Weka hicho kifungu hapa.

Unaelewa kwamba a government does not need to be a state's government right?

Unaelewa kwamba Hong Kong si state na imesaini IGA right?

Soma IGA ya Hong Kong na USA hapa.

Nenda kasome Article 1 ya montevideo convetion on statehood. Acha kubwabwaja
 
Umeacha kuwa kada na chawa lini ?!. Au ni bandari imekutoa nyongo !!. Hayo ndiyo tumekuwa tukiyapinga huku mkitubeza . Ccm na genge lao ni wezi. Bi mkubwa alivyoona kalikoroga ameamua kulikabidhi chama uvundo.

Hata hivyo hakuna mwenye imani na mahakama ambazo Rostam anasema kweli kuwa kwa simu moja tu haki inapindishwa.
Naomba ujiheshimu usiniletee uduwanzi asubuhi asubuhi
 
Nenda kasome Article 1 ya montevideo convetion on statehood. Acha kubwabwaja
Article one ya Montevideo Convention on Statehood hii hapa chini kwenye post hii.

Hakuna sehemu ambapo inasema non state governments haziwezi kusaini IGA.

In fact hapo juu nimekuwekea mfano wa non state government (Hong Kong) ilivyoingia IGA na USA mwaka 2020.

Unasoma unachonukuu au unaleta ubishi tu?

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Montevideo Convention

Done at: Montevideo

Date enacted: 1933-12-26

In force: 1934-12-26

The Governments represented in the Seventh International Conference of American States:

Wishing to conclude a Convention on Rights and Duties of States, have appointed the following Plenipotentiaries:

[List of plenipotentiaries omitted]

Who, after having exhibited their Full Powers, which were found to be in good and due order, have agreed upon the following:

Article 1

The state as a person of international law should possess the following qualifications:

a. a permanent population;

b. a defined territory;

c. government; and

d. capacity to enter into relations with the other states.

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
 
Article one ya Montevideo Convention on Statehood hii hapa chini kwenye post hii.

Hakuna sehemu ambapo inasema non state governments haziwezi kusaini IGA.

In fact hapo juu nimekuwekea mfano wa non state government (Hong Kong) ilivyoingia IGA na USA mwaka 2020.

Unasoma unachonukuu au unaleta ubishi tu?

Montevideo Convention

Done at: Montevideo

Date enacted: 1933-12-26

In force: 1934-12-26

The Governments represented in the Seventh International Conference of American States:

Wishing to conclude a Convention on Rights and Duties of States, have appointed the following Plenipotentiaries:

[List of plenipotentiaries omitted]

Who, after having exhibited their Full Powers, which were found to be in good and due order, have agreed upon the following:

Article 1

The state as a person of international law should possess the following qualifications:

a. a permanent population;

b. a defined territory;

c. government; and

d. capacity to enter into relations with the other states.
Dubai kama Zanzibar haina capacity ya kuingia mikataba ya kimataifa
 
Dubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.

Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika

Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
we hiyo sheria yako umeisoma kwenye hivi vyuo vyetu mnavitukana kila siku? Kwa hiyo nyie ndio mnajua sheria kuliko waingereza walioleta hizo sheria kwa meli? Uingereza iingie mkataba na Dubai useme siyo state. Tafuta uzushi na mauwongo mengine hapo mmeshindwa. Kwanini hamchoki kila siku mnazushi mauwongo au ndio kazi mmeajiriwa nayo
 
Kuna tatizo sana mtu anapokariri na kurudia rudia kama kasuku "Montevideo Convention. Montevideo Convention" bila hata ya kuielewa hiyo Montevideo Convention inasema nini.
 
Dubai sio state na haina capacity ya kuingia mkataba wa aina yoyote.

Mahakama itatenda haki
Mafisadi wa CCM chini ya mwenyekiti wao wataaibika

Huyu Wasira na pumba zake za kumtusi Lissu ataona aibu
Kwasababu uelewa wale vichaa wanatafuta tu umaarufu kwa gharama ndogo, serikali ya CCM haiwezi kuzuiliwa na chombo chochote ktkt mipango yake ya maendeleo
 
Upigwe chini wote mazima haina haja ya kurekebisha maana tayari umekataliwa na wengi.

WaTZ wanaweza wenyewe kusimamia bandari.

Ile ya Ticts ilikuwa mfupa na unyonyaji kwa miaka 20 ilipoisha tukaona tumetua mzigo mzito sana sembuse huu wa milele?!

Labda miaka iwe 5 kama kule Zanzibar hapo sawa lakini hasa waipige chini watanzania wenyewe wanaweza.
 
Back
Top Bottom