Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Kama IGA ni between two sovereign states basi tunaweza kuchomoka maana Dubai ni sehemu tu ya United Arab Emirates ambayo pia ina majiji mengine kama Abu Dhabi yanayounda nchi hiyo.
This means Mkataba halali ulipaswa kuwa kati ya UAE na Tanzania na si Dubai na Tanzania.
Tusubiri tuone mahakama itaamuaje maana pia Sheria ya Maliasili imekiukwa ambayo inasema kugawana faida 50/50 na investor day one ya uzalishaji. Sasa hapa DPW Dubai wamelamba 100% Tanzania 0%, kweli Bulicheka kwenye safari zake za Dubai kaenda kutuuza wagagagigikoko mchana kweupeeee!
Nafikiri alievujisha huu Mkataba alikuwa na motives nyingi just my political science guess
1. Alitaka wabongo waone Rais mwanamke hana akili ya uongozi , yaani Bimkubwa hana akili ya kusoma na kuelewa mikataba mizito. Ila akili ya kuekti movie na kuendesha magari mbugani anayo.
2. Kwamba Rais muislam hana akili
3. Kwamba Rais mzanzibari Hana akili
4. Kwamba urais wa TZ si saizi ya Mama! Kwake ni Oversize boot! Maana pia tukumbuke hakuchaguliwa kwa sanduku la kura.
5. Kwamba Safari zingine za Rais huleta majanga nchini bora ya Magu alijikalia zake chato hakwenda nje kuokota mabalaa na kuletea raia
6. Kwamba Raia tujue Tanzania inaibiwa sana na wageni na tunaowezesha Hilo ni sisi wenyewe kwakuwa hatuna akili Wala uzalendo
7. Kwamba Huyu mtu alievujisha mkataba ni mtu WA ndani kabisa wa Cabinet akimchonganisha Mama na wananchi Ili wamchukie na pia Huyu mtu anautaka Urais wa bongo kwa udi na uvumba na lazima ni kijana anaeona Mama hatoshi , just with my guts
8. Kwamba Mama ni mzenji anawapa wajomba zake waarabu Mali zetu wadanganyika tukose wote ana hasira na chuki na Tanganyika na anatukomoa machogo kwa kuikalia Zenji kwa nguvu kupitia muungano.
9. Kwamba yeye ni Rais na Yuko juu ya Sheria anafanya analojisikia
10. Kwamba nchi nzima mwenye akili ni yeye tu!!
This means Mkataba halali ulipaswa kuwa kati ya UAE na Tanzania na si Dubai na Tanzania.
Tusubiri tuone mahakama itaamuaje maana pia Sheria ya Maliasili imekiukwa ambayo inasema kugawana faida 50/50 na investor day one ya uzalishaji. Sasa hapa DPW Dubai wamelamba 100% Tanzania 0%, kweli Bulicheka kwenye safari zake za Dubai kaenda kutuuza wagagagigikoko mchana kweupeeee!
Nafikiri alievujisha huu Mkataba alikuwa na motives nyingi just my political science guess
1. Alitaka wabongo waone Rais mwanamke hana akili ya uongozi , yaani Bimkubwa hana akili ya kusoma na kuelewa mikataba mizito. Ila akili ya kuekti movie na kuendesha magari mbugani anayo.
2. Kwamba Rais muislam hana akili
3. Kwamba Rais mzanzibari Hana akili
4. Kwamba urais wa TZ si saizi ya Mama! Kwake ni Oversize boot! Maana pia tukumbuke hakuchaguliwa kwa sanduku la kura.
5. Kwamba Safari zingine za Rais huleta majanga nchini bora ya Magu alijikalia zake chato hakwenda nje kuokota mabalaa na kuletea raia
6. Kwamba Raia tujue Tanzania inaibiwa sana na wageni na tunaowezesha Hilo ni sisi wenyewe kwakuwa hatuna akili Wala uzalendo
7. Kwamba Huyu mtu alievujisha mkataba ni mtu WA ndani kabisa wa Cabinet akimchonganisha Mama na wananchi Ili wamchukie na pia Huyu mtu anautaka Urais wa bongo kwa udi na uvumba na lazima ni kijana anaeona Mama hatoshi , just with my guts
8. Kwamba Mama ni mzenji anawapa wajomba zake waarabu Mali zetu wadanganyika tukose wote ana hasira na chuki na Tanganyika na anatukomoa machogo kwa kuikalia Zenji kwa nguvu kupitia muungano.
9. Kwamba yeye ni Rais na Yuko juu ya Sheria anafanya analojisikia
10. Kwamba nchi nzima mwenye akili ni yeye tu!!