Watanganyika wote tuungane tulikatae hilo la waarabu

Watanganyika wote tuungane tulikatae hilo la waarabu

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Siyo kesho tena bali tuanze sasa!

Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.

Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!

Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.

Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.

Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
 
Popote ulipo Mtanganyika
Fahamu unatetea watoto na wajukuu wako na wewe mwenyewe, hakikisha haukubali utapeli wa viongozi na ccm wa kuuzwa kwa bandari yetu, andika maneno Bandari yetu kushinikiza bunge kutoruhusu kabisa ujinga wa kuuzwa au kukodishwa bandari yetu, ni utumwa na ufinyu wa fikra kwa viongozi waliokosa ubunifu,
1-Bandari yetu ibaki
2-Bandari yetu ibaki
3-Bandari yetu ibaki
4-Bandari yetu ibaki
5-Bandari yetu ibaki
6-Bandari yetu ibaki
7-Bandari yetu iBaki
8-Bandari yetu ibaki
9-Bandari yetu ibaki
10-Bandari yetu ibaki
Watanganyika endeleeni kutoa maoni yetu kulishinikiza Bunge kutobariki hivo vituko,
 
Siyo kesho tena bali tuanze sasa!

Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.

Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!

Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.

Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.

Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
Kwenye mbowe umeharibu mkuu
 
Ukiwa na kaya ukaanza kuuza vitu vya ndani bila kujali hatma ya wanakaya ni ujuha. Unataka nini kuingia mikataba ya hovyo, ili uboreshe nini, kwa we mwenye kaya unashindwaje kujiletea maendeleo mpaka uletewe na mwingine kwa kuingia ubia? #bandari yetu ibaki
 
Wapendwa wangu waislamu nisameheni sijawahi kuwa mbaguzi nawapenda sana tu ila

"hakuna rais mkiristo kutoka bara ambae angejaribu kuuza bandari kwa waarabu hakuna kitu kama hicho"

Isingewezekana hata siku moja kubinafsisha bandari, Nyerere aliiacha, , mwinyi aliiacha, mkapa aliiacha, kikwete aliiacha, magufuli hata huo ujinga usingetokea, huyu anabinafsisha bandari ya nini?
 
Siyo kesho tena bali tuanze sasa!

Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.

Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!

Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.

Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.

Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
Wapo bize na feitoto
 
Siyo kesho tena bali tuanze sasa!

Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.

Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!

Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.

Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.

Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
Mnada sasa tuandike wapi!!!
 
Popote ulipo Mtanganyika
Fahamu unatetea watoto na wajukuu wako na wewe mwenyewe, hakikisha haukubali utapeli wa viongozi na ccm wa kuuzwa kwa bandari yetu, andika maneno Bandari yetu kushinikiza bunge kutoruhusu kabisa ujinga wa kuuzwa au kukodishwa bandari yetu, ni utumwa na ufinyu wa fikra kwa viongozi waliokosa ubunifu,
1-Bandari yetu ibaki
2-Bandari yetu ibaki
3-Bandari yetu ibaki
4-Bandari yetu ibaki
5-Bandari yetu ibaki
6-Bandari yetu ibaki
7-Bandari yetu iBaki
8-Bandari yetu ibaki
9-Bandari yetu ibaki
10-Bandari yetu ibaki
Watanganyika endeleeni kutoa maoni yetu kulishinikiza Bunge kutobariki hivo vituko,
[emoji120]
 
Back
Top Bottom