Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kuku usituharibie siku! Saa100 aende tu hata tukijaza ushuzi unatosha!Ni vile hajapewa asali tu, hamna mtu pale!
Kwanini asingesubiri tumchague kwanza?Isingewezekana hata siku moja kubinafsisha bandari, Nyerere aliiacha, , mwinyi aliiacha, mkapa aliiacha, kikwete aliiacha, magufuli hata huo ujinga usingetokea, huyu anabinafsisha bandari ya nini?
tukumbuke ya LOliondo limetusumbua hadi kesho. uliza wamasai watakuambia maumivu yake.View attachment 2650308
Karibu Akhui tupige kazi Inshaallah.
Wazungu wana hunting blocks kibao maporini mbona haulalamiki acheni udini.tukumbuke ya LOliondo limetusumbua hadi kesho. uliza wamasai watakuambia maumivu yake.
Siyo kesho tena bali tuanze sasa!
Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.
Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!
Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.
Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.
Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
MhHawa wazanzibari wana agenda mbaya sana na watanganyika, ipo kila sababu sasa Jeshi lisimame na kutoa kauli dhidi ya huu ushenzi
lakini sio waharibifu kama waarabu. sasaivi wamehamisha mbuga ipo uarabuni. wazungu wamehamisha wapi mbuga? hao waarabu sijui huwa wanawafanya nini hadi mnawaabudi hivyo.Wazungu wana hunting blocks kibao maporini mbona haulalamiki acheni udini.
Waarabu pia wanahaki ya kula vya mjinga. Why not.
Nenda Ulaya na Marekani na Canada Ma Zoo yalivyojaa Wanyamapori wa Afrika ndugu, tembea uone acha kujifungia Kijijini kwako na kuhadithiwa na Wamasai.lakini sio waharibifu kama waarabu. sasaivi wamehamisha mbuga ipo uarabuni. wazungu wamehamisha wapi mbuga? hao waarabu sijui huwa wanawafanya nini hadi mnawaabudi hivyo.
Wasaliti popote huwa hawakosekani...wengi huwa ni chawa njaa inawasumbua
Siyo kesho tena bali tuanze sasa!
Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.
Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!
Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.
Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.
Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
Bite mwisope nyo guniooo veveSamia tia pamba piga gia usiangalie nyuma.
Kumbe tatizo uwarabu?lakini sio waharibifu kama waarabu. sasaivi wamehamisha mbuga ipo uarabuni. wazungu wamehamisha wapi mbuga? hao waarabu sijui huwa wanawafanya nini hadi mnawaabudi hivyo.