MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Vyama pinzani wamekua wajinga sana ,Mkataba umewekwa wazi baada ya kutoa maoni ili uboreshwe wanaanza kuzuazua maneno la kuleta taharukiSamia tia pamba piga gia usiangalie nyuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyama pinzani wamekua wajinga sana ,Mkataba umewekwa wazi baada ya kutoa maoni ili uboreshwe wanaanza kuzuazua maneno la kuleta taharukiSamia tia pamba piga gia usiangalie nyuma.
Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.[emoji419][emoji375]Siyo kesho tena bali tuanze sasa!
Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.
Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!
Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.
Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.
Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
Huna akili wewe,wazazi wako wana hasara kubwa sana,Wapendwa wangu waislamu nisameheni sijawahi kuwa mbaguzi nawapenda sana tu ila
"hakuna rais mkiristo kutoka bara ambae angejaribu kuuza bandari kwa waarabu hakuna kitu kama hicho"
Baada ya hapo tuje na muungano pia , Hawa akina yaheeeee warejee kwaoSiyo kesho tena bali tuanze sasa!
Huo mkataba haufai hata kwa kufungia maandazi kwa Mangi na ni kutwezwa kwa kiwango cha kutisha na watawala kwa kisingizio eti wanatuletea maendeleo.
Huo msiba wa mkataba wa kuuzwa bandari yetu ya Tanganyika ni wetu sote Watanganyika na shime tuamke tuukatae kwa gharama yeyote!
Rais Samia aelezwe bila haya kwamba HUO MKATABA NI BATILI NA USIO NA MANUFAA KWA TANGANYIKA YETU.
Na hao baadhi ya Watanganyika wenzetu wanao tuasi kwenye hilo naomba itafutwe namna bora ya kuwalazimisha warejee kwenye mstari.
Mheshimiwa Mbowe lisimamie hilo na tunakutegemea.
Huna akili kabisaSamia tia pamba piga gia usiangalie nyuma.
Sote hatuna akili.Huna akili kabisa
Kweni Zitto kasemaje?😄Vyama pinzani wamekua wajinga sana ,Mkataba umewekwa wazi baada ya kutoa maoni ili uboreshwe wanaanza kuzuazua maneno la kuleta taharuki
Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!Samia tia pamba piga gia usiangalie nyuma.
Miafrika ndivyo tulivyo, hata wewe unazo za kuvukia barabara tu.Kichwa bila akili ni adhabu kwa shingo!
Hasa wewe unaetetea uuzwaji wa Bandari yetu huna akili kabisaSote hatuna akili.
Hata hujui kuwa "Akili" ni neno la Kiarabu.😆Hasa wewe unaetetea uuzwaji wa Bandari yetu huna akili kabisa
Sawa wazazi wangu wana hasara ila usijizime data kumbuka mkataba huu hauihusu zanzibar unajuwa kwa nini? Think big, narudia tena raisi mkristo kutoka bara asingewauzia waarabu wakomba zake bandariHuna akili wewe,wazazi wako wana hasara kubwa sana,
Unasema: "Hakuna rais mkiristo kutoka bara ambae angejaribu kuuza bandari kwa WAARABU"
Kwahiyo tatizo lako hapo ni Waarabu? Tatizo lako ni nani kauziwa bandari? Kwahiyo angeuziwa Mzungu wewe ungeona sawa? (Kama kweli issue ya kuuza ipo) Una maanisha rais mkristo yeye angeuza kwa WAZUNGU?
Umeandika comment ya kipumbavu sana ambayo inawakiliza akili zako na uwezo wako wa kufikiri,hii sio issue ya kuhusisha race au dini.