Watangazaji wa Clouds Media, Wampiga Stop Tundu Lissu kutaja jina la Abdul kwamba alimpelekea Rushwa. Idrissa Rubibi na Daniel Naftari wadakwa na Pesa

Watangazaji wa Clouds Media, Wampiga Stop Tundu Lissu kutaja jina la Abdul kwamba alimpelekea Rushwa. Idrissa Rubibi na Daniel Naftari wadakwa na Pesa

Huyu Dada Clouds wamemtoa wapi mbona kama Hana akili kabisa
Huyu ni kada wa CCM na inawezekana hata kazi kapata kwa sababu ya ukada wake, na kada mzuri wa CCM lazima atamtetea Abdul na mama Abdul.

Hapa jf kuna kada alitoa uzi kum ridicule Lissu kusema kuwa Abdul alimletea hela, ndio kazi yao kutetea chochote hata kama ni rushwa zinazotokana na viongozi wao.
 
Lissu akiwa anafanya siasa za uongo na utapeli.
View attachment 3204134
Upumbavu katika ubora wake, kuna hoja na ushahidi wa video ukionyesha ushahidi wa hiyo hoja, badala ya kujenga hoja kupangua unaleta vihoja.

Ndio maana Lissu amesema kuna mgombea gani mwingine amekemea rushwa? Mbowe hawezi kukemea rushwa, na wapambe wake hawawezi kukemea rushwa, wote wameoza MORALLY ROTTEN
 
Kwanza tujue clouds ni mali ya nani, ni kusaga au kuna kigogo mkubwa kada kindakindaki wa CCM?
 
Kiboko ya mtangazaji kwenye mahojiano ni Ondemba wa star tv
Wapo wengine wazuri kama Kitenge, John Marwa anaweza kuwa top presenter akipunguza longolongo. Maswali yake yawe brief and to the point. Ila huwa anauliza maswali mazuri sana.
 
Jamani tusome na kuelimika. Kuroga na kusafisha nyota, sio dawa ya kuongeza akili na maarifa in this competitive world
 
Upumbavu katika ubora wake, kuna hoja na ushahidi wa video ukionyesha ushahidi wa hiyo hoja, badala ya kujenga hoja kupangua unaleta vihoja.

Ndio maana Lissu amesema kuna mgombea gani mwingine amekemea rushwa? Mbowe hawezi kukemea rushwa, na wapambe wake hawawezi kukemea rushwa, wote wameoza MORALLY ROTTEN
Lisu amewashika akili mmekuwa kama mapoyoyo.

Katiba ya Chadema inampa makamu mwenyekiti mamlaka ya nidhamu, je Lisu aliwahi kufanya nini?

Mwenyekiti wa Chadema siyo mamlaka ya nidhamu.
 
Lisu amewashika akili mmekuwa kama mapoyoyo.

Katiba ya Chadema inampa makamu mwenyekiti mamlaka ya nidhamu, je Lisu aliwahi kufanya nini?

Mwenyekiti wa Chadema siyo mamlaka ya nidhamu.
Mbowe amewashika akili mmekuwa wapumbavu kabisa, uwezo wa kufikiria umekwisha kwenu wajinga.

Ushahidi wa video umeonyesha kampeni meneja wa Mbowe akitoa rushwa kwenye uchaguzi wa BAVICHA na mwingine akiwa ni mpambe wa team Mbowe. Lissu amerespond kwa kuwataja watoa rushwa, na historia ya Lissu wenye akili timamu wanajua anakemea rushwa.

Jibu hoja hiyo usilete upumbavu wako, kwa nini wapambe wa Mbowe wanatoa rushwa na Mbowe hakemei? Pathetic fool
 
Takukuru mdakeni Lissu mpate pa kuanzia... anasema ana habari kamili itawasaidia juu ya rushwa ya Abdul kutaka kumpa hela kwa gunia.
 
CCM n
Huyu ni kada wa CCM na inawezekana hata kazi kapata kwa sababu ya ukada wake, na kada mzuri wa CCM lazima atamtetea Abdul na mama Abdul.

Hapa jf kuna kada alitoa uzi kum ridicule Lissu kusema kuwa Abdul alimletea hela, ndio kazi yao kutetea chochote hata kama ni rushwa zinazotokana na viongozi wao.
CCM ni nyumba ya wajinga, wanafiki, machawa, waviziaji teuzi na wala rushwa.
 
Takukuru mdakeni Lissu mpate pa kuanzia... anasema ana habari kamili itawasaidia juu ya rushwa ya Abdul kutaka kumpa hela kwa gunia.
Sio wadake watoa rushwa. Lissu ataenda Mahakamani kutoa Ushahidi
 
Back
Top Bottom