imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kijakazi Yunus:😴😴😴😴😴Tundu Lissu: Hapana, kwanini unaruhusu nitaje jina la mwenyenyiki nitaje jina la nani lakini hutaki nitaje jina la waovu hawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijakazi Yunus:😴😴😴😴😴Tundu Lissu: Hapana, kwanini unaruhusu nitaje jina la mwenyenyiki nitaje jina la nani lakini hutaki nitaje jina la waovu hawa?
Watu wa intellegence... M zoom Dodoma mtamkuta ametupia kijaniWashajua mamlaka inataka nini, huyo Kijakazi hapo alikuwa anatuma CV yake kijanja. Mamlaka itamtunuku uteuzi very soon.
Unaona wazi kabisa hakuamini anachokiongea wala hakuwa na ujasiri wa kukitetea, alikuwa anabwata ili tu aonekane anamdhibiti Lissu.