Washajua mamlaka inataka nini, huyo Kijakazi hapo alikuwa anatuma CV yake kijanja. Mamlaka itamtunuku uteuzi very soon.
Unaona wazi kabisa hakuamini anachokiongea wala hakuwa na ujasiri wa kukitetea, alikuwa anabwata ili tu aonekane anamdhibiti Lissu.