Kuna mshamba mwenzako Da'Vinci kauziwa mswaki unaokaa ndani ya dawa ya meno ya whitedent kwa elfu tatu.Mwanaume unaenda lipia ufanyiwe massage real?????? Unatania anko massage kabsaaa ????duuu
[emoji87] [emoji87] da vinci hajatahiriwa?Hapana wanaume wa dar ni wanaume wa nguvu kwanza nyie wa mikoani huwa hamatahiriwi
Weka niweke [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] sasa nibishie niwawekee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] RomaHuyu si Roma huyu mtu wenu wa Tanga huko
Ebu angalia swali aliloniuliza young ulitegemea nimjibu vipiAcha kumtisha kijana
Haha nakukaribisha sana na naamini utaondoka na tabasamu la hatariNajaribu tuuu huwa mnapenda kujisifu na wakati hamna lolote round moja chaliii unabaki kupepewa
Ohooo, nimekomaNaomba ujiandae kisaikolojia nataka na mm nije nikupige bomu langu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mimiKuna mshamba mwenzako Da'Vinci kauziwa mswaki unaokaa ndani ya dawa ya meno ya whitedent kwa elfu tatu.
Mtafute mueleweshane
Ata ndg zako walioko uko muitako Mikoan nao wananuka??watu wa mikoani ukipishana nae hujui kama umepishana na mtu au mbuzi
hiyo harufu wote wananuka
kwa namna hii kwanini msiumwe utapiamlo [emoji23] [emoji23]Hahahamimi hapa mwenyewe from bush.
Me nimesema wa mikoani jaman[emoji87] [emoji87] da vinci hajatahiriwa?
Hilo siyo swali mkuu, we ukimuona mtu anajisema yeye mwanaume kisa ananuka kama beberu jua ana govi limeona machweo, mawio, masika, kiangazi, mchana na usiku[emoji87] [emoji87] da vinci hajatahiriwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuu zako nakushtakiWeka niweke [emoji23] [emoji23]
Atakuwa amechangwa na avatar yako ShunieEbu angalia swami aliloniuliza young ulitegemea nimjibu vipi
Ukitaka usimsahau mwanaume wa dar anyeshewe na mvua vipodozi viondokeMtu wa mkoani utamkuta ana magaga miguuni mpaka akija mjini unawaza utampa shuka gani matokeo yake unamnunulia kwanza soksi
hayo meno kama shabiki wa yanga
Nakuja kuhakikisha sitaki maneno mieHaha nakukaribisha sana na naamini utaondoka na tabasamu la hatari
Huyo amezidi ushambaKuna mshamba mwenzako Da'Vinci kauziwa mswaki unaokaa ndani ya dawa ya meno ya whitedent kwa elfu tatu.
Mtafute mueleweshane
Halafu namwambia huo mswaki bure anasema eti huku maisha magumu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mimi