[emoji2][emoji2][emoji2]Wa mkoani nipo hapa, mara ya kwanza kufika dar mm nilijua ni mji wa maduu watupu coz wengi ni weupe na wameva nguo za kubana makalio na supu. Nilipofka Uswahilini lahaula nikakuta vitoto vinakimbiza wababa na visu
Ukweli kabsa ushaidi upoWanaume wa dar wamewekwa mkononi na mademu zao hawapumui hata kidogo yani hawana kabisa uwanaume
Hahha omwana we ni mwanamke wa dar au??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anza na mm kuniunga mkonoIla mi wanaume wa mikoani nawapenda sana. Nitawaunga mkono hapa.
Na Arsenal [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Sema mi mwenyewe naipenda Chelsea kufa.Wanaume wa mikoani wengi ni washabiki wa Chelsea
Tayari nimeshakuunga mkono kwa maana hiyo.Anza na mm kuniunga mkono
Huhuuuuu Achana na kile kitoto cha dar kilichokutaka njoo kwanguTayari nimeshakuunga mkono kwa maana hiyo.
Kipi hicho? Hamna kitoto kinachoweza kupata nguvu za kunitaka mkuu.Huhuuuuu Achana na kile kitoto cha dar kilichokutaka njoo kwangu
Wanaume wa dar wote watoto...Kipi hicho? Hamna kitoto kinachoweza kupata nguvu za kunitaka mkuu.
Naona unajitahidi kuwapaka mafuta kwa mgongo Wa chupa wanaume Wa daslam.Kumbe na we ni walewale ambao mnawakula wanawake wenu kwa vichaka
Hapo ndipo wanashangaza mkuu.Halafu hawakimalizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana kwa hil hapana waneeni huruma asee
Utacheka umeme ukikatika hata kuingia chooni ambapo ni kiko chumbani humo humo anaogopa mnoo
Wanashindana kuonesha mapaja na miguu ya bia na Dada zaoDah ila vile vipesi,,, unajua sielewi wanamaanisha nn,,,
Aisee hizi madaWanaume wa dar naskia wanavaa sambusa