Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Yote tisa......Kumi Mwanaume wa Dar anakimbilia siti kwenye Mwendokasi. Yupo radhi amuone Mwanamke amesimama kabeba Mtoto mgongoni anajikausha kama hamuoni. Hili kwangu Mimi nilivyoona nilishangaa na bado nashangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…