Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa we si mluga luga, we unadhani tighter kama mimi huo mswaki nauziwa? Nachukua bureJuzi nimeuziwa mswaki 4000 wakati home napata sh300
Kwa sababu baadaye wao watakua wanatafuna magodoroWanaume wa Dar wakitongoza wao ndio wanaotafuna kucha.
Mna maisha magumu dar poleniiSasa we si mluga luga, we unadhani tighter kama mimi huo mswaki nauziwa? Nachukua bure
aliyetiwa katoka mkoani![]()
[emoji23] [emoji23]
Karithi kutoka dar
Akitoka hapo anaenda kufanya scrub![]()
[emoji23] [emoji23]
Hi ndio kazi yao mkuu
We dogo hama, huku utaolewa kama mwendo ndiyo huuMna maisha magumu sana sana dar samaki mmoja 10 tena kipande mm home napata fungu la migebuka[emoji13] [emoji13]
Mimi nishakupa ushauri, hapa hapakufaiMna maisha magumu dar polenii
Abiria chunga mzigo wako, mjini hapa
Dogo am not such kind of dog u think....We dogo hama, huku utaolewa kama mwendo ndiyo huu
hahaaaaaaaaWanaume wa Dar wakitongoza wao ndio wanaotafuna kucha.
hahaaaaaa umemaliza kila kitu mkuuwa mikoani
1. hawajui kuvaa
2. washamba, wanaigana sana na kufata mkumbo, mfano akiona mwenzie kaoa na yeye anataka aoe kumbe kiuhalisia bado hawezi kummudu mwanamke kulingana na kipato.
3. wakija dar wanajua posta, fery, na mliman city tu, usipowapeleka hayo maeneo wanaona kama hawajafika dsm
4. nguvu nyingii akili nukta
5. wanapigwa sana vibuti na madem, anaweza kumtumia pesa mwanamke ambaye hajawahi kumuona
6. ndio wanaoongoza kubwagwa na madem zao
7.wabishi sana, hata kama kitu cha kweli atataka league
8. hawazipendi timu zao, ajabu wanashabikia timu za yanga na simba ambazo zipo dar
9. wakija dar ujuaji mwingi, wakienda shopping wanapigwa sana bei
10.wakigombana na wake/madem zao hukimbilia kujinyonga.
11. wengi ndoto zao ni kufika dar
12. siku wanakuja dar, hawalali huo usiku huo wanapata usingizi wa mang'amng'am ili gar isiwaache
13. kuoga ni hiari
[emoji23]Akitoka hapo anaenda kufanya scrub
Kweli hapanifai siwez kaa na wanaume kama mabintiMimi nishakupa ushauri, hapa hapakufai
Hahaha, yani unakuta kabisa mwanaume anarembua kama mwanamke.hahaaaaaaaa
huu utani sasa karibu na ukweli kabisa
nasikia wana vuta vuta na nyasi
tutake radhi aisee mwanaume wa dar hawezi kuwa mlafi kiasi hikiWanaume wa Dar
![]()