Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na machizi waliokamatwa wiki hii wote wametokea mikoaniHahaha, deo pamoja na akili yake hawezi kufanya mambo kama haya
Nabii wenu Tito.
Katoboa masikio, kajichubua na nywele kaweka dawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume wa dar bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 686986View attachment 686987
Usisahau wanapenda kuvaa vipensi vifupi kuonyesha mapaja[emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar wanapenda kujichubua, wanatengeneza kucha kama dada zao, wapo nyoronyoro sana, wamekuwa wakilalamikiwa sana kuwa hawawezi kula papuchi vizuri, wanapenda kula chips kavu na miguu ya kuku wale wa mwezi mmoja
Aaahhh wapiiiwa mikoani
1. hawajui kuvaa
2. washamba, wanaigana sana na kufata mkumbo, mfano akiona mwenzie kaoa na yeye anataka aoe kumbe kiuhalisia bado hawezi kummudu mwanamke kulingana na kipato.
3. wakija dar wanajua posta, fery, na mliman city tu, usipowapeleka hayo maeneo wanaona kama hawajafika dsm
4. nguvu nyingii akili nukta
5. wanapigwa sana vibuti na madem, anaweza kumtumia pesa mwanamke ambaye hajawahi kumuona
6. ndio wanaoongoza kubwagwa na madem zao
7.wabishi sana, hata kama kitu cha kweli atataka league
8. hawazipendi timu zao, ajabu wanashabikia timu za yanga na simba ambazo zipo dar
9. wakija dar ujuaji mwingi, wakienda shopping wanapigwa sana bei
10.wakigombana na wake/madem zao hukimbilia kujinyonga.
11. wengi ndoto zao ni kufika dar
12. siku wanakuja dar, hawalali huo usiku huo wanapata usingizi wa mang'amng'am ili gar isiwaache
13. kuoga ni hiari
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jaman [emoji3][emoji3][emoji3]Wa mkoani nipo hapa, mara ya kwanza kufika dar mm nilijua ni mji wa maduu watupu coz wengi ni weupe na wameva nguo za kubana makalio na supu. Nilipofka Uswahilini lahaula nikakuta vitoto vinakimbiza wababa na visu
Sijakutana na mwanaume anakata viuno kama nabii Tito[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]![]()