Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
muda wote akili yao inawaza hivi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akiwa anakula jasho akienda kunya jasho kama katoka kazinihahaaaaaaa bwahhaaaaa ha..dahh mpka mate yamenipalia yaani daahh
akili zako zimecheza aiseee hahaaa
Kidume gani unaona maisha magumu unalia lia tu.Dogo am not such kind of dog u think....
Mm kidume aisee
lakini Mawazo yako ni pevu kama mwanaume wa dar mkuu ..dar inakufaa mnooNipo kwetu mkoani mku[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Una hasira mpaka basi.Na Mwaka huu mkulu anawahamisha kutoka dar mnakuja mkoani tutawakomesha mpaka basii mliambiwa muondoke mkagoma naona saivi mnaondoka bila kupenda karibuni mkoani mje na ulegelege wenuuuu
Kidume gani unaona maisha magumu unalia lia tu.
Umewahi kuona mwanaume wa Dar anasema hali ngumu?
Tena nawasubir kwa hamuuu wengine wanaanza kuingia keshoooUna hasira mpaka basi.
Ila tukija, we taking over kama kawaida yetu
daaah tutake radhi aisee haaahaaWanaume wa Dar wakitongoza wao ndio wanaotafuna kucha.
hahaaa aisee ..haya umeshindaKweli hapanifai siwez kaa na wanaume kama mabinti
Huyo si Deo Kisandu huyo?![]()
Mwanaume wa dar katika pozi
acha masihara basiiHahaha, yani unakuta kabisa mwanaume anarembua kama mwanamke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23]
baada ya scrub mchuzi wa pweza
Hahaha, deo pamoja na akili yake hawezi kufanya mambo kama hayaHuyo si Deo Kisandu huyo?
ni kweli wanaume wa dar,Hahaha, deo pamoja na akili yake hawezi kufanya mambo kama haya
Nabii wenu Tito.![]()
Mwanaume wa dar katika pozi