Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Wanaume wa mikoani ni watafutaji na si wavivu, wanajuwa wajibu wa kutunza familia zao, wengi hawana matatizo ya nguvu za kiume, hawana muda wa kupoteza, wao ni kazi tu, na tuko shupavu. Tatizo la wanaume vigarasa wa Dar ni kule kuiga kila ujinga utokao nje, kuvaa huku chupi ikiwa nje, wavivu, wambea, hawana nguvu za kiume, wengi wao wananuka makwapa na mdomo japo wako mjini, wanapenda sana kujifananisha na wanawake, kutongoza wanawake kwao ni ishu na akipata demu wa kugegeda basi kila mtu atajuwa mtaani, si watafutaji, wanapenda sana ushoga au utata, wako very useless. Idadi kubwa ya wanaume wa Dar ni kama hapo juu, hawana ishu yeyote mjini....wako bize kunywa gongo, kusikiliza fleva, na ujinga usiowasaidia chochote maishani.
 
Aaahhh wapiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…