Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Wanaume wa dar wanakula muhindi wa kuchoma kwa uma.Far?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wa dar wanakula muhindi wa kuchoma kwa uma.Far?
Mimi mweusi kama wasira mkuu, huyo ni mwenzenu kabisa.Aaah mkuu huyu siyo wewe kweli???
Dogo unaandika sana sijasoma.Wewe kweli ni mwanamme wa Dar asilia, yaani mpaka unafikiri hayo magorofa ya Dar yamejengwa na vijana wenzako kwa kweli mpaka hapa umeniacha hoi, yaani nimechekaje? Hivi hujuwi kuwa serikali yako ndiyo inayojenga hayo magorofa? Kwa makusudi serikali ilielekeza maendeleo yote Dar na kusahau mikoani, na sisi huku tumejenga viwanjani kwetu majumba si vijumba kama vya Msoga (mbavu za mbwa). Wanaume wa Dar bwana, yaani mpaka kufikiri imekuwa ishu kwenu? Wacheni kuendekeza bongo fleva na ujinga wa kusuka nywele, tutawaoa....shauri yenu.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Wa mkoani nipo hapa, mara ya kwanza kufika dar mm nilijua ni mji wa maduu watupu coz wengi ni weupe na wameva nguo za kubana makalio na supu. Nilipofka Uswahilini lahaula nikakuta vitoto vinakimbiza wababa na visu
Sasa unategemea huyo ataweza kuuwa hata mende?
kweli hawa jamaa wanasumbua kweli mpaka msibani mtu yupo na ndani na wengine wapo nje bado anataka akojoe kwenye kopo,,,Wanaume wa dar usiku wanaogopa kutoka nje kwenda haja ndogo wanajisaidia kwenye makopo
Khaaaa [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Mimi mweusi kama wasira mkuu, huyo ni mwenzenu kabisa.
Ni heri kuwa chizi kuliko kuwa mwanaume wa daslamNa machizi waliokamatwa wiki hii wote wametokea mikoani
Aaah wapi we hata Facebook upo na hizi picha zako, hebu lete nyingine.Mimi mweusi kama wasira mkuu, huyo ni mwenzenu kabisa.
Dar watu hawalaliWanaume wa dar usiku wanaogopa kutoka nje kwenda haja ndogo wanajisaidia kwenye makopo
Unafurahia wenzako kuwa machizi ili madebe yao ya mahindi uwaibieNi heri kuwa chizi kuliko kuwa mwanaume wa daslam
Uncle jaman we si mume wa auntie yangu au heshima tu jaman na hapo ulivyowaongelea wanaume wa mikoaniunaniamkia ili iweje ?
Haaaaaaaa huyo wa juu si dady huyoo au anajiita dida mtamu ha ha ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 686986View attachment 686987
Ukweli mchunguAisee
[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]watu wa mikoani ukipishana nae hujui kama umepishana na mtu au mbuzi
hiyo harufu wote wananuka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa kama kuna lodge kali mbona mnakulana vichakaniHahaha alafu huku mikoani kuna ladge kali sana kuliko hata hapo dar