mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeNilienda dar kutembea Usku naona watu hawaingii jikon baadae nashangaa boda boda anakuja na mifuko kila mtu akapewa mmoja ndani chips kavu na kipaja cha kuku na azam cola ya baridi baada ya kulala saa 9 Tumbo linaanza kuunguruma njaa nikaamka kupika uji sipendagi ujinga