realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Watu wengi hasa wasiokuwa na ajira wameshindwa kutoka ndani na kujaribu kufanya baadhi ya shughuli za kujiingizia kipato kwa kuwaza kuwa “watamuonaje”
Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira.
Vitu hivyo ni kama
Kushona,Kusuka,kupika,kupamba,kuuza Juice na vitu vingine kama hivo.
Lakini watanionaje linawafanya wajifungie ndani na kuwa wanyonge huku wakiendelea kusubiri serikali iwasaidie.
ukweli ni kwamba hakuna anayekuangalia kila mtu yuko busy na mambo yake.
Amka na uanze kujituma sasa.
Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira.
Vitu hivyo ni kama
Kushona,Kusuka,kupika,kupamba,kuuza Juice na vitu vingine kama hivo.
Lakini watanionaje linawafanya wajifungie ndani na kuwa wanyonge huku wakiendelea kusubiri serikali iwasaidie.
ukweli ni kwamba hakuna anayekuangalia kila mtu yuko busy na mambo yake.
Amka na uanze kujituma sasa.