“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana

“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana

and unfortunately wengi mnaosemaga izi kauli uchwara unakuta mmeshaajiriwa serikalini, mshahara ukishatoka ndo mnaanza kubwabwaja
Hajaajiriwa huyo muhitimu wa chuo X bado anapambania ajira zenyewe za manati sasa tunampa muda atachagua kupika kashata apate 100 kwa kila kashata au kuitembeza kashata apate 100,000 kwa kila goli 1
 
Ngumu kumesa,,,,, ! Let's say mtu amesoma amekuwa MD, hakuna kazi kitaa hata kujitolea ,,,ukimwambia kachome mahindi stand uwongo,,,,, hawez enda, !!!! Haka kausemi watanionaje utalala njaa,,,, kamekaaa kichonganishi sana nipo pale !
 
Ngumu kumesa,,,,, ! Let's say mtu amesoma amekuwa MD, hakuna kazi kitaa hata kujitolea ,,,ukimwambia kachome mahindi stand uwongo,,,,, hawez enda, !!!! Haka kausemi watanionaje utalala njaa,,,, kamekaaa kichonganishi sana nipo pale !
Wachomekee vizuri waendelee kulalamika hiyo itawasaidia sana huku umri unasonga 😅
 
Hajaajiriwa huyo muhitimu wa chuo X bado anapambania ajira zenyewe za manati sasa tunampa muda atachagua kupika kashata apate 100 kwa kila kashata au kuitembeza kashata apate 100,000 kwa kila goli 1
Motivesheno speaker uyo kwenye ubora wake, na wanaomsapoti wengi ni team mama abduli kila mwisho wa mwezi wanaenda kutega mkono ila ukiwaambia wao wafanye au waache izo ajira achilia mbali kustaafu wakauze izo kashata wanaanza kufakufa.!!

Akili kumkichwa.!!
 
Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.

Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Kuuza karanga sio kwamba wewe utakuwa muuza karanga, ndani ya kuuza karanga unaweza kukutana na fursa zingine ndugu. Mfano mtu amesomea Business administration anasubiri kuwa afisa masoko wa jiji uku hata practice ya biashara hajui hata chembe
 
No no no realMamy
Ni kweli kabisa wakae wasubiri wakakae ofisini wapigwe na kiyoyozi
Thats out of my context for sure.

Nachomaanisha ni kuwa ukiona mtu kaspend more than 14+ years for schooling and then after graduating akaanza kufikiria/kushawishika kujihusisha na ujasiriamali mdogo then that's a total failure. Huyo mtu hajui kuapply elimu yake kutatua matatizo madogomadogo kama ayo ya finance.

Kwa kipindi hiki ambacho ajira hazieleweki, as a student unatakiwa since upo one year before graduating ufikiri nje ya box as how you're gonna deal with unemployment.

As a graduate unatakiwa kujifanyia assessment na kuevaluate any possible means za wewe kusurvive hali ya kutokua na ajira, it's from there unaweza kuweka hesabu zako sahihi kwa kuamua kusuka au kunyoa

Kama utaamua kustick kwenye kusubiri ajira while you exactly know that ajira hamna then you're a bogus, na ukianza kufikiria kujiajiri kwa kuanza kuuza karanga mtaani au kandoro au kufanya kazi unalipwa mshahara chini ya 300k then you're a bogus as well.

As a graduate unatakiwa upambanue akili kama msomi kwelikweli sio unafikiri kama darasa la 4, ukistick kufanya izo kazi uchwara unawakatisha sana tamaa madogo mtaani na kupelekea wao kuchukia elimu kitu kinachopelekea kuonekana haina thamani tena.

Kijana ukimaliza chuo na huna ramani yoyote mjini rudi nyumbani kwenu katulie uanze kuchora mikakati upya, kama watakufosi kutoka hakikisha wanakupa mtaji wa kuweza kufungua biashara inayoeleweka vinginevyo utadhalilika sana mtaani kwa kusotea hela ya kula tu.
 
Kuuza karanga sio kwamba wewe utakuwa muuza karanga, ndani ya kuuza karanga unaweza kukutana na fursa zingine ndugu. Mfano mtu amesomea Business administration anasubiri kuwa afisa masoko wa jiji uku hata practice ya biashara hajui hata chembe
Yan afisa masoko wa jiji ajipatie experience kupitia kuuza karanga mtaani, come on man.!!
 
Back
Top Bottom