secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
FactHii isikie kwa jirani tu ila ukweli ubaki hata amani ya moyo hakuna ni afadhali uende mbali na wanapokujua alafu jikaushe kama hujawahi kuingia hata o level alafu pambania kombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FactHii isikie kwa jirani tu ila ukweli ubaki hata amani ya moyo hakuna ni afadhali uende mbali na wanapokujua alafu jikaushe kama hujawahi kuingia hata o level alafu pambania kombe.
Nani alitajirika kwa kuuza karanga au Juice?Umesema kweli,. Lakini hizo juisi na karanga unaweza kuziandaa na kuziuza kisomi zaidi.
Hivi unajua Reginald Mengi alitajirika kwa kuuza maji ya kunywa?
Kwa kweli mi siwez kua graduate af niwe mziba pancha za baskel, nakumbuka kipind nakua kuna brother kitaan alikua fundi baskel af tunaambiwa ni graduate nazan mpk leo ni bado yupo na kzi iyo iyoKaburi kivipi?
Kama kazi gani?
We unafanya Nini tuanzia hapo?!Kabisa
Sijui huwa ni aibu kuwa watanionaje me na degree yangu, au sijui huwa ni ulimbukeni/uvivu.
Ukielewa
The Art of Not Giving A F*ck
hautasumbuka kuwaza watanionaje...
Wanetu wa degree amkeni bebeni zege,sukuma toroli la machungwa, fanya 1,2,3 huku ukisikilizia dili litiki kama msemavyo...
Mkuu kwahiyo ukae bila kazi ama uzibee pancha za baiskeli, kipi ni chaguo kwako?Kwa kweli mi siwez kua graduate af niwe mziba pancha za baskel, nakumbuka kipind nakua kuna brother kitaan alikua fundi baskel af tunaambiwa ni graduate nazan mpk leo ni bado yupo na kzi iyo iyo
Huwez kua graduate akashindwa kujipozishen sehem ambayo haiwez kutezwa utu wako bhanaaMkuu kwahiyo ukae bila kazi ama uzibee pancha za baiskeli, kipi ni chaguo kwako?
Dah mkuu unaongea kama upo nje ya Tanzania hivi, ila poa tuna tofautiana maono.Huwez kua graduate akashindwa kujipozishen sehem ambayo haiwez kutezwa utu wako bhanaa
me nakupenda wewe na sijali watanionajeWe unafanya Nini tuanzia hapo?!
😹😹😹😹Kidogo nikubali inikakumbuka I'm focusedme nakupenda wewe na sijali watanionaje
[emoji1787]
Provided huvunji sheria za nchi au mienendo ambayo kawaida binadamu anatakiwa kuenenda nayo katika maisha; kawaida watu wanatkiwa wakuone kama unavyopenda wewe wakuone, na si kama wanavyopenda uonekane kwaoWatu wengi hasa wasiokuwa na ajira wameshindwa kutoka ndani na kujaribu kufanya baadhi ya shughuli za kujiingizia kipato kwa kuwaza kuwa “watamuonaje”
Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira.
Vitu hivyo ni kama
Kushona,Kusuka,kupika,kupamba,kuuza Juice na vitu vingine kama hivo.
Lakini watanionaje linawafanya wajifungie ndani na kuwa wanyonge huku wakiendelea kusubiri serikali iwasaidie.
ukweli ni kwamba hakuna anayekuangalia kila mtu yuko busy na mambo yake.
Amka na uanze kujituma sasa.
Kina mwijaku na baba levo wanakula bata sababu hawalitambui hilo neno Watanionaje
Amini kwamba KiongoziKabisa
Sijui huwa ni aibu kuwa watanionaje me na degree yangu, au sijui huwa ni ulimbukeni/uvivu.
Ukielewa
The Art of Not Giving A F*ck
hautasumbuka kuwaza watanionaje...
Wanetu wa degree amkeni bebeni zege,sukuma toroli la machungwa, fanya 1,2,3 huku ukisikilizia dili litiki kama msemavyo...