“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana

“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana

Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.

Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Sawa endeleeni kulalamika
 
Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira.

Vitu hivyo ni kama
Kushona,Kusuka,kupika,kupamba,kuuza Juice na vitu vingine kama hivo.
Hili somo lipo tangu hujazaliwa yaan wewe mimi ni mtoto wangu najua umezaliwa afu 2 nilikuepo kabla yako na hili somo lilikuwepo kabla hujazaliwa
 
Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.

Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
😁😁😁 kuna jamaa kachangia kwamba kuna muda alie ishia darasa la saba anahoja kuliko hata mwenye degree nikataka nimpinge lakin nilivyosoma comment yako nikagunduwa jamaa alikuwa sahihi
 
Kabisa
Sijui huwa ni aibu kuwa watanionaje me na degree yangu, au sijui huwa ni ulimbukeni/uvivu.

Ukielewa
The Art of Not Giving A F*ck
hautasumbuka kuwaza watanionaje...

Wanetu wa degree amkeni bebeni zege,sukuma toroli la machungwa, fanya 1,2,3 huku ukisikilizia dili litiki kama msemavyo...
Kabisa, huko ndo watapata kazi nzuri
 
Kabisa
Sijui huwa ni aibu kuwa watanionaje me na degree yangu, au sijui huwa ni ulimbukeni/uvivu.

Ukielewa
The Art of Not Giving A F*ck
hautasumbuka kuwaza watanionaje...

Wanetu wa degree amkeni bebeni zege,sukuma toroli la machungwa, fanya 1,2,3 huku ukisikilizia dili litiki kama msemavyo...
Hakika mkuu, unakutana na kijana anakwambia hawezi fanya kazi ya nguvu kisa anayo degree.
 
Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.

Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Ni kaz sana mkuu sio kitu kirahisi.
 
Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.

Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
fo shua mkuu hapa tunadanganyana tu motivational speaker ni wengi sana siku izi waambiwe wao waache kushinda tiktok waende beba zege tuone je wanaweza thubutu
 
Back
Top Bottom