mbaya sana hii nikujitoa tu aibu sio dili . nobody care move broh.. even care do move#WATANIONAJE ilishawahi kunifanya nkachelewa kumpata binti mkali na #E (sealed) kwa kuhofia Atanionaje, kumbe mtoto alishanikubalia hata kabla sijamfuata
#WATANIONAJE
kweli kabsa we are differ in mind . usiniforce niuze barafu kuchagua kazi sio dhambiMtu umemaliza Degree af ukauze kandoro sijui juisi mtaani, no no no you're better than that.!!
za kuambiwa chekecha na zako
Hii kusita sita imemichelewesha mnoo mkuu, now nshaanza kubadili mind set na matokeo nayaonambaya sana hii nikujitoa tu aibu sio dili . nobody care move broh.. even care do move
Hakika....hata kama wanakuona jifunze kuishi kwa ajili yako na si kwa ajili ya watuukweli ni kwamba hakuna anayekuangalia kila mtu yuko busy na mambo yake.