Sawa endeleeni kulalamikaNyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.
Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Hili somo lipo tangu hujazaliwa yaan wewe mimi ni mtoto wangu najua umezaliwa afu 2 nilikuepo kabla yako na hili somo lilikuwepo kabla hujazaliwaUkijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira.
Vitu hivyo ni kama
Kushona,Kusuka,kupika,kupamba,kuuza Juice na vitu vingine kama hivo.
Soon utaanza kukitembeza tunavutia muda tuSawa endeleeni kulalamika
😁😁😁 kuna jamaa kachangia kwamba kuna muda alie ishia darasa la saba anahoja kuliko hata mwenye degree nikataka nimpinge lakin nilivyosoma comment yako nikagunduwa jamaa alikuwa sahihiNyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.
Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Hili sio suala la kulalamika bali ni suala la kuambiana ukweli, and unfortunately wengi mnaosemaga izi kauli uchwara unakuta mmeshaajiriwa serikalini, mshahara ukishatoka ndo mnaanza kubwabwajaSawa endeleeni kulalamika
Kabisa, huko ndo watapata kazi nzuriKabisa
Sijui huwa ni aibu kuwa watanionaje me na degree yangu, au sijui huwa ni ulimbukeni/uvivu.
Ukielewa
The Art of Not Giving A F*ck
hautasumbuka kuwaza watanionaje...
Wanetu wa degree amkeni bebeni zege,sukuma toroli la machungwa, fanya 1,2,3 huku ukisikilizia dili litiki kama msemavyo...
Sote tunajua wewe na jamaa ako ni pipa na mfuniko, no wonder😁😁😁 kuna jamaa kachangia kwamba kuna muda alie ishia darasa la saba anahoja kuliko hata mwenye degree nikataka nimpinge lakin nilivyosoma comment yako nikagunduwa jamaa alikuwa sahihi
Hakika mkuu, unakutana na kijana anakwambia hawezi fanya kazi ya nguvu kisa anayo degree.Kabisa
Sijui huwa ni aibu kuwa watanionaje me na degree yangu, au sijui huwa ni ulimbukeni/uvivu.
Ukielewa
The Art of Not Giving A F*ck
hautasumbuka kuwaza watanionaje...
Wanetu wa degree amkeni bebeni zege,sukuma toroli la machungwa, fanya 1,2,3 huku ukisikilizia dili litiki kama msemavyo...
Cha muhimu nikufanya kazi.kweli kabsa we are differ in mind . usiniforce niuze barafu kuchagua kazi sio dhambi
Aunt I'm still wondering you didn't believe me and thought I was feeding you [emoji478]Facts, vijana wengi watakuja kugundua baadaye kuwa hakuna mtu anayejali kihivyo, unaoverthink na kujilimit bila sababu.
Unajua why, acha stori mingi sijui kizungu mimi 😂 😂 😂Aunt I'm still wondering you didn't believe me and thought I was feeding you [emoji478]
Ni kaz sana mkuu sio kitu kirahisi.Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.
Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
fo shua mkuu hapa tunadanganyana tu motivational speaker ni wengi sana siku izi waambiwe wao waache kushinda tiktok waende beba zege tuone je wanaweza thubutuNyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.
Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Duh! AiseeUnajua why, acha stori mingi sijui kizungu mimi