Kuuza karanga ni mfano tu, usidharau biashara ya aina yoyote kisa eti una digrii. Kama fikra zako zitakuelekeza uko utaishia kulalama kuwa hakuna ajira wakati fursa ziko nyingi ila umebaki watanionaje. Macho yako hayaoni fursa yoyote bali yanaishia kuona macho ya wengine yanavyokutazama weweYan afisa masoko wa jiji ajipatie experience kupitia kuuza karanga mtaani, come on man.!!
Mwaka wa 6 sasa nipo kwenye biashara, siandiki apa kujifurahishaKuuza karanga ni mfano tu, usidharau biashara ya aina yoyote kisa eti una digrii. Kama fikra zako zitakuelekeza uko utaishia kulalama kuwa hakuna ajira wakati fursa ziko nyingi ila umebaki watanionaje. Macho yako hayaoni fursa yoyote bali yanaishia kuona macho ya wengine yanavyokutazama wewe
Umemuelewa mtoa maada lakini?Wewe unawafanya wao kwani, hivi ikiingiza elfu 10 kwa siku halafu mtu akakucheka nani mpumbavu kati yako wewe na yeye?
Fanyeni kazi yoyote ilimradi isiwe haramu achana na mambo ya watanionaje. Mtoa mada yuko sahihi na mimi nakazia hapo hapoUmemuelewa mtoa maada lakini?
Unauza Vizuri Ifanye Kwa Ubora Wa Kidigrii Hiyo BiasharaNyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.
Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.
Kaburi kivipi?Kuna kazi zingine ukifanya unakua umejichimbia kaburi mazima
Fo shua nini mzee mnalishana matango pori, hakuna aliesema kufanya kazi ndogo ndogo ni ufahari kwa mwenye degree, hoja iliokuepo ni neno "Watanionaje" unashindwa kupita njia zako unazoamini eti unawaza watanionaje.fo shua mkuu hapa tunadanganyana tu motivational speaker ni wengi sana siku izi waambiwe wao waache kushinda tiktok waende beba zege tuone je wanaweza thubutu
Asante sanaFo shua nini mzee mnalishana matango pori, hakuna aliesema kufanya kazi ndogo ndogo ni ufahari kwa mwenye degree, hoja iliokuepo ni neno "Watanionaje" unashindwa kupita njia zako unazoamini eti unawaza watanionaje.
Simple example labda uelewe.
Degree umekosa ajira, limekujia wazo la biashara, let's say umepata wazo la kuuza Viatu, but huna mtaji.
Lakini akili inakwambia kabisa nikitengeneza unguli(competence) kwenye Viatu watu wataniamini itakuwa rahisi kuwaomba mtaji.
Lakini circle yako huna wafanyabiashara wa viatu, logic inakuja kichwani, acha nitafute machinga anifundishe kupoint nijikaze for 3Months ili niweze jua jozi za Viatu ambazo nipendwa, namba zenye wateja, brand pendwa na n.k
Akili inakwambia this will either change your life forever au kukupa ujuzi wa biashara lakini unashindwa chukuwa action kwa kuwaza "WATANIONAJE", hili ndio jambo la kipuuzi ambalo mtoa maada analipinga
Umesema kweli,. Lakini hizo juisi na karanga unaweza kuziandaa na kuziuza kisomi zaidi.Nyie ndo mnaopelekea wadada kujiuza mtaani ilimradi tu mkono uende kinywani kwa slogan uchwara zenu.
Mtu alomaliza degree kwenda kuuza juisi mtaani sijui kushona ni akili za darasa la saba sio Bachelor, haiwezekani mtu umesota miaka 14+ shule af umalize ukauze juisi au karanga mtaani. Ni rahisi sana kutamka but coming to think of it ni utopolo mtupu.