“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana

Hii isikie kwa jirani tu ila ukweli ubaki hata amani ya moyo hakuna ni afadhali uende mbali na wanapokujua alafu jikaushe kama hujawahi kuingia hata o level alafu pambania kombe.
Fact
 
Reactions: Sax
Umesema kweli,. Lakini hizo juisi na karanga unaweza kuziandaa na kuziuza kisomi zaidi.

Hivi unajua Reginald Mengi alitajirika kwa kuuza maji ya kunywa?
Nani alitajirika kwa kuuza karanga au Juice?
 
We unafanya Nini tuanzia hapo?!
 
Kwa kweli mi siwez kua graduate af niwe mziba pancha za baskel, nakumbuka kipind nakua kuna brother kitaan alikua fundi baskel af tunaambiwa ni graduate nazan mpk leo ni bado yupo na kzi iyo iyo
Mkuu kwahiyo ukae bila kazi ama uzibee pancha za baiskeli, kipi ni chaguo kwako?
 
Provided huvunji sheria za nchi au mienendo ambayo kawaida binadamu anatakiwa kuenenda nayo katika maisha; kawaida watu wanatkiwa wakuone kama unavyopenda wewe wakuone, na si kama wanavyopenda uonekane kwao
 
Amini kwamba Kiongozi
 
No one cares about you.

So you have to fight by any means...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…