Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Huyu wa kwanza kushoto sura inakuja kama kijana alikulia mwenge nyuma ya TRA kwenye zile kota.

Hayo maeneo ya Bunju beach njia ya kwenda moga kuna baa moja iko kama parking ya magari kuna mtaaalamu wa kucoma nyama hapo huwa panajaa siku za wikiendi utafikiri Loliondo sinza.

Rip wote mungu awape stahili yao peponi. Punguzeni ulevi na kusafiri na magari usiku. Wazee wa zamani huwa hawanywi mbali na nyumbani akimaloza anatembea anarudi kwake. From Bunju to Juliana ni mbali sana.

Huwa nashangaa watu wanatoka ilala wanakuja kulewa Kidimbwi, Segerea wanakuja kidimbwi nadhani kuna ushamba pia ndani yake.

Mnywaji unatakiwa mtaani kwako hapohapo dukani kwa mangi unamilza kiu yako unarudi nyumbani kwako salama.
 
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.

Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,

Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.

Wafe tuu hao, endeleeni kulaumu Samia na polisi.
 
Sheikh Kipozeo na munde..!

 
zama zimebadilika sana.

Sasa hivi kosa lako faida kwa wengine.

Hivi muuza majeneza anaweza kupokea hizi taarifa kwa masikitiko ?

 
Duuuhhh....!! Noma sana aisee. Pole sana kwa wafiwa.

Ila akili ya pombe aisee sijui huwa inakuaje.

Nakumbuka kama miaka 18 back enzi za ujana, kuna siku nilikua na washikaji Moshi tumepiga bia tuko tungi kinoma aisee, ikaja idea kwamba tu drive hadi Arusha, kumbuka mida hiyo saa 7 usiku tayari, tuko pombe mbaya, tunatiana moto kwamba lazima by saa nane tuwe A town tugonge pombe za Arusha.

Tukaanza safari, hata hatukufika mbali tunaitafuta Bomang'ombe polisi hawa hapa, wakatusimamisha tukagoma, wakaanza kutufukuza.

Aisee wakatudaka fasta, wanacheki ndani ya gari wanakuta pombe kibao wote tuko pombe mbaya, wakatuchukua kwanza wakaenda kutulaza lock up.

Hiyo ndo ikawa pona yetu, ila kama tungeendelea na ile safari sidhani kama tungepona.

Pombe noma sana aisee, acha kabisa.
Mlipaswa kuchapwa viboko vya matako.
Mimi ningekua askari siku hiyo mngejuta pombe zingewaishia mapema tu.
 
Duuuhhh....!! Noma sana aisee. Pole sana kwa wafiwa.

Ila akili ya pombe aisee sijui huwa inakuaje.

Nakumbuka kama miaka 18 back enzi za ujana, kuna siku nilikua na washikaji Moshi tumepiga bia tuko tungi kinoma aisee, ikaja idea kwamba tu drive hadi Arusha, kumbuka mida hiyo saa 7 usiku tayari, tuko pombe mbaya, tunatiana moto kwamba lazima by saa nane tuwe A town tugonge pombe za Arusha.

Tukaanza safari, hata hatukufika mbali tunaitafuta Bomang'ombe polisi hawa hapa, wakatusimamisha tukagoma, wakaanza kutufukuza.

Aisee wakatudaka fasta, wanacheki ndani ya gari wanakuta pombe kibao wote tuko pombe mbaya, wakatuchukua kwanza wakaenda kutulaza lock up.

Hiyo ndo ikawa pona yetu, ila kama tungeendelea na ile safari sidhani kama tungepona.

Pombe noma sana aisee, acha kabisa.
Aisee wakatudaka fasta, wanacheki ndani ya gari wanakuta pombe kibao wote tuko pombe mbaya, wakatuchukua kwanza wakaenda kutulaza lock up.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom