Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ndo maana nikiamua kwenda kulewa huwa sitoki na gari...
Daaah alafu the guy alikuwa Major aisee
Bunju tangu enzi hizo majirani walevi hukutana pamoja na kunywa pamoja hii tabia imekuwa n ibada sasa kunywa pamoja na unywaji wa kuhamahama.Ukweli ni kwamba ajali haikutokea Bunju B bali Maeneo ya mianzini ambayo ni Bunju A.
Imewaondoa duniani majirani watano wanaoishi sehemu moja... Ni msiba wa ujirani. Bahati mbaya zaidi dereva wa Lori aliyewagonga naye ni jirani akifahamiana vyema na marehemu wote....Wanne wameshazikwa na wa mwisho anazikwa leo, mida hii...
Majeruhi mmoja aliyesalia tayari kashatoka hospitalini.
Mungu yu mwema daima
Alipata kusema Albert ChalamilaWatano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.
Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,
Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.
Case ngumuUkweli ni kwamba ajali haikutokea Bunju B bali Maeneo ya mianzini ambayo ni Bunju A.
Imewaondoa duniani majirani watano wanaoishi sehemu moja... Ni msiba wa ujirani. Bahati mbaya zaidi dereva wa Lori aliyewagonga naye ni jirani akifahamiana vyema na marehemu wote....Wanne wameshazikwa na wa mwisho anazikwa leo, mida hii...
Majeruhi mmoja aliyesalia tayari kashatoka hospitalini.
Mungu yu mwema daima
Noma SanaHatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamoja
Ushamba na Ulimbukeni ndio Shidaa...Daaah pombe gani unakunywa hujui kama umetosheka
Unapakumbuka Ben pubHahahaha[emoji23]
Utadhani unalo jamiiforum kuna mijitu miongoAisee ndo maana nikiamua kwenda kulewa huwa sitoki na gari...
Kwani ndio Mara ya kwanza kuendesha amelewa?wangapi wanaendesha chakari Hadi wanasahau kwao na hawafi?...Mungu anajua siku yako ya kuzaliwa na ya kufa pia,kusema hajapanga trh ya kufa huu Ni upotoshaji bro.
Sio akili nzito tu, huyo hana akili kabisaDa. Wewe una akili nzito sana. Kwa nini sasa unapovuka barabara huwa unachukuwa tahadhari? Kwa nini usivuke tu bila kuangalia wala kujali chochote kwani ''kama siku yako haijafika'' hakuna kitakachokugusa? Pia kwenye maisha yako hata ukiugua usitafute tiba kwani kama siku yako haijafika hutakufa!
[emoji1][emoji1] kwamba gari ni kitu cha ajabu hivyo...Utadhani unalo jamiiforum kuna mijitu miongo
R.i pmn