Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Kifo bila maumivu..BATA mpaka dakika ya mwisho.. !

Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..

Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya TUSKER baridi na KVANT?


Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..![emoji2827]
DaaaH imebidi nicheke aisee😂😂
 
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.

Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,

Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.

Kuna kijana wa Parokian bunju miongoni mwao leo ana agwa R IP
 
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.

Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,

Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.

Marekebisho kidogo...ilikuwa Bunju A, Mianzini
 
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.

Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,

Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.

Ukweli ni kwamba ajali haikutokea Bunju B bali Maeneo ya mianzini ambayo ni Bunju A.

Imewaondoa duniani majirani watano wanaoishi sehemu moja... Ni msiba wa ujirani. Bahati mbaya zaidi dereva wa Lori aliyewagonga naye ni jirani akifahamiana vyema na marehemu wote....Wanne wameshazikwa na wa mwisho anazikwa leo, mida hii...

Majeruhi mmoja aliyesalia tayari kashatoka hospitalini.

Mungu yu mwema daima
 
Hizi ni ajali mbaya na ukichunguza ni nguvu kazi za taifa,

tunawaomba polisi wasichoke waendelee kutoa elimu za usalama barabarani na kutoa taarifa ili watu waweze kujifunza kutokana na hizi ajali mbaya!!!

Kama Mimi napita pale kila siku na sijui kabisa taarifa za hiyo ajali, Jana nimesoma taarifa za ajali Kwa wiki mbili Kwa jumla watu 44, hiyo haikutajwa Bado bodaboda, polisi wanaficha ili iweje!?

RIP ndugu waliotutokaQUOTE]Watu kama hao hata ukiwapa inaweza isiwasaidie.
Mara nyingi sana tumelua tukionywa kua UKINYWA USIENDESHE, UKIENDESHA USINYWE lakini watu hatusikii ndiyo kwanza tunagida mipombe alafu tunaendesha vyombo vya moto.
 
Siwafahamu bali nafahamu hayo maeneo na nilijulishwa na mshikaji ana ofisi karibu na hapo.
Hamjambo Bunju?
Hatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamoja
 
Hatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamoja
Duuh poleni sana, hicho kipande cha barabara kuanzia kwa Jumbe hadi pale kwa Wagogo imekunywa damu nyingi sana hasa Mianzini kituoni.
 
Duuh poleni sana, hicho kipande cha barabara kuanzia kwa Jumbe hadi pale kwa Wagogo imekunywa damu nyingi sana hasa Mianzini kituoni.
Yeah kabla ya hii ajali siku 5 kabla yake watu wawili walidanja kwa ajali moja ya boda. Na juzi kati hapa tena bibi mmoja kagongwa na school bus na kudedi hapohapo.

Itabidi tumtafute Mshana Jr aje atutambikie barabara yetu
 
Yeah kabla ya hii ajali siku 5 kabla yake watu wawili walidanja kwa ajali moja ya boda. Na juzi kati hapa tena bibi mmoja kagongwa na school bus na kudedi hapohapo.

Itabidi tumtafute Mshana Jr aje atutambikie barabara yetu
Wabongo na ulimbukeni wa magari hasa madereva dawa ni matuta hapo Lake oil, mianzini baa na mteremko wa Gudal
 
Na huyo Dada hapo Chini kushoto Pia au yeye ndio Majeruhi?
 
Back
Top Bottom