mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Pombe zimevamiwaDaaah pombe gani unakunywa hujui kama umetosheka
Mtu anataka siku hiyohiyo awe juliana, kitambaa cheupe, kidimbwi, element
Ili kesho yke atambe
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe zimevamiwaDaaah pombe gani unakunywa hujui kama umetosheka
DaaaH imebidi nicheke aisee😂😂Kifo bila maumivu..BATA mpaka dakika ya mwisho.. !
Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..
Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya TUSKER baridi na KVANT?
Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..![emoji2827]
Kuna kijana wa Parokian bunju miongoni mwao leo ana agwa R IPWatano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.
Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,
Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.
Mwenyeji wa Mara?Kuna kijana wa Parokian bunju miongoni mwao leo ana agwa R IP
Sina hakika kwao hapo mingoiMwenyeji wa Mara?
Alikuwa na majonzi mengiHabari za jumamosi unatuletea jumatano?
Marekebisho kidogo...ilikuwa Bunju A, MianziniWatano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.
Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,
Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.
Huyu alifanyaje??
Ukweli ni kwamba ajali haikutokea Bunju B bali Maeneo ya mianzini ambayo ni Bunju A.Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.
Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,
Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.
Sahihi kabisa. Ebanae unawafahamu hao majamaa?Marekebisho kidogo...ilikuwa Bunju A, Mianzini
Siwafahamu bali nafahamu hayo maeneo na nilijulishwa na mshikaji ana ofisi karibu na hapo.Sahihi kabisa. Ebanae unawafahamu hao majamaa?
Hizi ni ajali mbaya na ukichunguza ni nguvu kazi za taifa,
tunawaomba polisi wasichoke waendelee kutoa elimu za usalama barabarani na kutoa taarifa ili watu waweze kujifunza kutokana na hizi ajali mbaya!!!
Kama Mimi napita pale kila siku na sijui kabisa taarifa za hiyo ajali, Jana nimesoma taarifa za ajali Kwa wiki mbili Kwa jumla watu 44, hiyo haikutajwa Bado bodaboda, polisi wanaficha ili iweje!?
RIP ndugu waliotutokaQUOTE]Watu kama hao hata ukiwapa inaweza isiwasaidie.
Mara nyingi sana tumelua tukionywa kua UKINYWA USIENDESHE, UKIENDESHA USINYWE lakini watu hatusikii ndiyo kwanza tunagida mipombe alafu tunaendesha vyombo vya moto.
Hatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamojaSiwafahamu bali nafahamu hayo maeneo na nilijulishwa na mshikaji ana ofisi karibu na hapo.
Hamjambo Bunju?
Inaonekana alikua ni Daktari mahiri sana.
Duuh poleni sana, hicho kipande cha barabara kuanzia kwa Jumbe hadi pale kwa Wagogo imekunywa damu nyingi sana hasa Mianzini kituoni.Hatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamoja
Yeah kabla ya hii ajali siku 5 kabla yake watu wawili walidanja kwa ajali moja ya boda. Na juzi kati hapa tena bibi mmoja kagongwa na school bus na kudedi hapohapo.Duuh poleni sana, hicho kipande cha barabara kuanzia kwa Jumbe hadi pale kwa Wagogo imekunywa damu nyingi sana hasa Mianzini kituoni.
Wabongo na ulimbukeni wa magari hasa madereva dawa ni matuta hapo Lake oil, mianzini baa na mteremko wa GudalYeah kabla ya hii ajali siku 5 kabla yake watu wawili walidanja kwa ajali moja ya boda. Na juzi kati hapa tena bibi mmoja kagongwa na school bus na kudedi hapohapo.
Itabidi tumtafute Mshana Jr aje atutambikie barabara yetu