BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Mvinyo!....Sio Pombe!Hakuna shida kwani muujiza wa kwanza wa Yesu alitengeneza nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Mvinyo!....Sio Pombe!Hakuna shida kwani muujiza wa kwanza wa Yesu alitengeneza nini mkuu?
Mvinyo ni pombe mkuu na kuja mvinyo na divai, vyote ni pombe ila moja imekuwa fermented pasipo kuongeza sukari yani kwa sukari yake yenyewe...Mvinyo!....Sio Pombe!
Duhh! suka aliamua kujipa kazi ya ziraeliUkweli ni kwamba ajali haikutokea Bunju B bali Maeneo ya mianzini ambayo ni Bunju A.
Imewaondoa duniani majirani watano wanaoishi sehemu moja... Ni msiba wa ujirani. Bahati mbaya zaidi dereva wa Lori aliyewagonga naye ni jirani akifahamiana vyema na marehemu wote....Wanne wameshazikwa na wa mwisho anazikwa leo, mida hii...
Majeruhi mmoja aliyesalia tayari kashatoka hospitalini.
Mungu yu mwema daima
Kumbe wewe pia ni jirani yanguHatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamoja
Ajali ni ajali tu mkuu. Sasa hebu fikiria suka anajisikiaje baada ya kugundua aliowaua kwenye ajali ni majirani zake?Duhh! suka aliamua kujipa kazi ya ziraeli
Huwezi jua mkuu. JF ina mambo ya kustaajabisha sana.Kumbe wewe pia ni jirani yangu
Hiyo barabara usiku ni hatari sana sana. Malori yote mabovu ya mchanga ndiyo ''yanaamka'' usiku mrefu ukifika ili kukwepa polisi. Yanakwenda mwendo mbaya sana na madereva wake wengi ni watu wa bangi.Nilishuhudia hiyo ajali mwanzo mwisho. Aisee lile scania liliwapa kitu inayouma. Ile gari haikujulikana ni harrier, vanguard, fortuner au ni nini. Ila scania pia lilizingua.
NakaziaItoshe kusema hakuna wa kulaumiwa hapo zaidi ya tungi
Siyo kweli hata kidogo. Hata Mungu hakupanga siku ya kufa mtu. Ndiyo maana akakupa akili na utashi wa kujiamulia mambo yako. Mtu unalewa chakari halafu unaingia kuendesha gari unasema siku yako ndiyo imefika?Hakuna kifo Cha kujitafutia,Ukiona mtu kafariki kwenye mazingira yeyote ujue tarehe yake ya ahadi imefika!hata angekuwa kalala chumbani roli lingekosea njia lingemfuata tu
Baadae tuonane hapo RIVERWOODHuwezi jua mkuu. JF ina mambo ya kustaajabisha sana.
Kwani ndio Mara ya kwanza kuendesha amelewa?wangapi wanaendesha chakari Hadi wanasahau kwao na hawafi?...Mungu anajua siku yako ya kuzaliwa na ya kufa pia,kusema hajapanga trh ya kufa huu Ni upotoshaji bro.Siyo kweli hata kidogo. Hata Mungu hakupanga siku ya kufa mtu. Ndiyo maana akakupa akili na utashi wa kujiamulia mambo yako. Mtu unalewa chakari halafu unaingia kuendesha gari unasema siku yako ndiyo imefika?
Hahahaaa..nna miadi na wadau flani hapo MAKUTI BAR, BunjuB. Nikiwahi kama sijalewa ntakusapraizBaadae tuonane hapo RIVERWOOD
Kwani kuandika rip unachajiwa shilingi ngapi!!?safi sana, fundisho tosha
Tochi sio alama ya barabarani.Hata Mimi ningenyosha kwa speedNakumbuka zamani Musoma Tarime road kuna mtu alipita jioni akienda Musoma kwenye ishu zake akiwa huko mvua inanyesha saa tatu usiku anarudi Tarime kufika mahali anapigiwa torch kwa nguvu asimame akaongeza moto akihisi ni majambazi, kumbe anaambiwa asimame mbele daraja limekata akaenda akajibamiza kwenye daraja na ikawa ndo mwisho wake, angeisikiliza torch angepona.
True usiku ni hofu ya majambazi unaweza ikasimama yakakukutaTochi sio alama ya barabarani.Hata Mimi ningenyosha kwa speed
Zao zimefikia r i p marehemu wote 5Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.
Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,
Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.
Da. Wewe una akili nzito sana. Kwa nini sasa unapovuka barabara huwa unachukuwa tahadhari? Kwa nini usivuke tu bila kuangalia wala kujali chochote kwani ''kama siku yako haijafika'' hakuna kitakachokugusa? Pia kwenye maisha yako hata ukiugua usitafute tiba kwani kama siku yako haijafika hutakufa!Kwani ndio Mara ya kwanza kuendesha amelewa?wangapi wanaendesha chakari Hadi wanasahau kwao na hawafi?...Mungu anajua siku yako ya kuzaliwa na ya kufa pia,kusema hajapanga trh ya kufa huu Ni upotoshaji bro.