7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,729
- 7,966
Kifo ni fumbo kali sana. Lakini kuna vingine huja na maonyo na kama wangewasikiliza wale wahudumu kwa ushauri wao wasingekufa.Kifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..
Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..
Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?
Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..
Mshana Jr umewahi kusikia ushuhuda wa mtu mmoja alipewa maono ya kwenda mbinguni, sasa katika pitapita zake huko anaonyeshwa watu na vitu mbalimbali si akakuta kuna watu 2 wanahesabu pesa, akauliza hawa ni akina nani?
Akaambiwa hawa ni watumishi wa Mungu walikuwa duniani badala ya kuhubiri Injili ya kweli badala yake waliishia kugombania sadaka za waumini.
Kwahiyo utakuta masela huko waliko sasa wanapiga bia bila wasiwasi kila wakimaliza round moja inashuka nyingine.
Mambo ya Mungu yanatisha.