Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Kifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..

Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..

Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?


Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..

Hahaaa umewaza nini
 
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.

Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,

Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.

View attachment 2168882

huyo mmoja japo ni majeruhi ila naamini ameacha pombe
 
Kifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..

Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..

Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?


Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..
Wameenda na ushahidi,ni SAwa na kufia kwenye kifua cha zinaa
 
Duuuhhh....!! Noma sana aisee. Pole sana kwa wafiwa.

Ila akili ya pombe aisee sijui huwa inakuaje.

Nakumbuka kama miaka 18 back enzi za ujana, kuna siku nilikua na washikaji Moshi tumepiga bia tuko tungi kinoma aisee, ikaja idea kwamba tu drive hadi Arusha, kumbuka mida hiyo saa 7 usiku tayari, tuko pombe mbaya, tunatiana moto kwamba lazima by saa nane tuwe A town tugonge pombe za Arusha.

Tukaanza safari, hata hatukufika mbali tunaitafuta Bomang'ombe polisi hawa hapa, wakatusimamisha tukagoma, wakaanza kutufukuza.

Aisee wakatudaka fasta, wanacheki ndani ya gari wanakuta pombe kibao wote tuko pombe mbaya, wakatuchukua kwanza wakaenda kutulaza lock up.

Hiyo ndo ikawa pona yetu, ila kama tungeendelea na ile safari sidhani kama tungepona.

Pombe noma sana aisee, acha kabisa.
Bora kulala lockup kuliko mochwali
 
Kifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..

Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..

Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?


Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..
Hahahaaaa
 
Hawakuwa na familia hawa!!??
kwa maana ya mke,mume watoto
unakunywaje kwa kujiachia namna hiyo.....!
all in all rip
 
Wahudumu walikuwa malaika
Nakumbuka zamani Musoma Tarime road kuna mtu alipita jioni akienda Musoma kwenye ishu zake akiwa huko mvua inanyesha saa tatu usiku anarudi Tarime kufika mahali anapigiwa torch kwa nguvu asimame akaongeza moto akihisi ni majambazi, kumbe anaambiwa asimame mbele daraja limekata akaenda akajibamiza kwenye daraja na ikawa ndo mwisho wake, angeisikiliza torch angepona.
 
Nakumbuka zamani Musoma Tarime road kuna mtu alipita jioni akienda Musoma kwenye ishu zake akiwa huko mvua inanyesha saa tatu usiku anarudi Tarime kufika mahali anapigiwa torch kwa nguvu asimame akaongeza moto akihisi ni majambazi, kumbe anaambiwa asimame mbele daraja limekata akaenda akajibamiza kwenye daraja na ikawa ndo mwisho wake, angeisikiliza torch angepona.
Hakuna namna ya kuweka alana ya tahadhari?
 
Back
Top Bottom