Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Waombee kheri waache na si kutoa "laana"!safi sana raha ya pombe ni umauti au majeruhi endeleeni kunywa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waombee kheri waache na si kutoa "laana"!safi sana raha ya pombe ni umauti au majeruhi endeleeni kunywa sana
Kifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..
Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..
Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?
Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..
Wamekufa kwa raha zao.
Saa hizi wana hangover mbinguni.
RIP.
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.
Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,
Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.
View attachment 2168882
[emoji23][emoji23][emoji23] hatq ww. Hapa si umebisha tayri? (Joke)Kasoro mimi
lete ushahidiSiyo wote watakaofufuliwa, ni baadhi tu wenye bahati
Wameenda na ushahidi,ni SAwa na kufia kwenye kifua cha zinaaKifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..
Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..
Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?
Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..
Kivipi wakati wamefika na ushahidi kabisa,ni SAwa na kubeba ushahidi mahakamaniYaani hao wamefika majuu wakiwa vizuri kabisa.
Bora kulala lockup kuliko mochwaliDuuuhhh....!! Noma sana aisee. Pole sana kwa wafiwa.
Ila akili ya pombe aisee sijui huwa inakuaje.
Nakumbuka kama miaka 18 back enzi za ujana, kuna siku nilikua na washikaji Moshi tumepiga bia tuko tungi kinoma aisee, ikaja idea kwamba tu drive hadi Arusha, kumbuka mida hiyo saa 7 usiku tayari, tuko pombe mbaya, tunatiana moto kwamba lazima by saa nane tuwe A town tugonge pombe za Arusha.
Tukaanza safari, hata hatukufika mbali tunaitafuta Bomang'ombe polisi hawa hapa, wakatusimamisha tukagoma, wakaanza kutufukuza.
Aisee wakatudaka fasta, wanacheki ndani ya gari wanakuta pombe kibao wote tuko pombe mbaya, wakatuchukua kwanza wakaenda kutulaza lock up.
Hiyo ndo ikawa pona yetu, ila kama tungeendelea na ile safari sidhani kama tungepona.
Pombe noma sana aisee, acha kabisa.
HahahaaaaKifo bila maumivu..bata mpaka dakika ya mwisho..
Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..
Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya tusker baridi na kvant?
Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..
Mara ya mwisho nilikuoma uko tungi ulikuwa mbishi,sema huwez jua kama wabisha wakati uko tungiKasoro mimi
Nakumbuka zamani Musoma Tarime road kuna mtu alipita jioni akienda Musoma kwenye ishu zake akiwa huko mvua inanyesha saa tatu usiku anarudi Tarime kufika mahali anapigiwa torch kwa nguvu asimame akaongeza moto akihisi ni majambazi, kumbe anaambiwa asimame mbele daraja limekata akaenda akajibamiza kwenye daraja na ikawa ndo mwisho wake, angeisikiliza torch angepona.Wahudumu walikuwa malaika
Hakuna namna ya kuweka alana ya tahadhari?Nakumbuka zamani Musoma Tarime road kuna mtu alipita jioni akienda Musoma kwenye ishu zake akiwa huko mvua inanyesha saa tatu usiku anarudi Tarime kufika mahali anapigiwa torch kwa nguvu asimame akaongeza moto akihisi ni majambazi, kumbe anaambiwa asimame mbele daraja limekata akaenda akajibamiza kwenye daraja na ikawa ndo mwisho wake, angeisikiliza torch angepona.