Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Hahaha, umemsoma tusker barid haha

Anakuambia walitokea juliana wakiwa njwii

Wakahamia lava lounge wahudumu wakawasihi wasiendele piga mtungi
Haha

Kweli ajali walijitakia

Ova
Malaika mtoa roho akishakuita lazima uende kwa staili yoyote ile. Ila hizi ajali imekuwa kama movie ya final destination
 
Ila bana pamoja na ajali ila haya Malori ya Mchanga haya, usiku yanaua mnoo! Na yale madude breki zake ni honi, huwa hayasimami.
 
Mtu atafufuliwa katika hali aliyokufia
Mkuu umeua!
Je na ule mkasa wa shehe aliyefia juu ya mwanamke akizuga mkewe kuwahi kuswali?

Sidhani kama Mungu wa upendo ataweza kutoa adhabu za kidhalilishaji namna hiyo.
 
Kifo bila maumivu..BATA mpaka dakika ya mwisho.. !

Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..

Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya TUSKER baridi na KVANT?


Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..![emoji2827]
Sema kuna hasara kidogo baadhi walikuwa masoja, mmojawapo ni ana cheo cha major katika kambi ya gongo la mboto [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mkuu umeua!
Je na ule mkasa wa shehe aliyefia juu ya mwanamke akizuga mkewe kuwahi kuswali?

Sidhani kama Mungu wa upendo ataweza kutoa adhabu za kidhalilishaji namna hiyo.
kma ww Muislamu utaamini la kama si muislamu utapinga
basi na ww usimkufuru Mungu wako kma unaogopa hizo.adhabu
 
Kifo bila maumivu..BATA mpaka dakika ya mwisho.. !

Wenyewe wala hawajui kama wamekufa..

Kimbembe ni huko kwa Sir God! Watasemaje sasa wakifika wako tungi ndii na midomo inatoa puyapuya ya TUSKER baridi na KVANT?


Hata hukumu yao itabidi iahirishwe pombe ziwaishe kichwani..![emoji2827]
Mshana weweee dah.. umewahukumu kabla hawajafika kwa Sir God!
 
Da. Wewe una akili nzito sana. Kwa nini sasa unapovuka barabara huwa unachukuwa tahadhari? Kwa nini usivuke tu bila kuangalia wala kujali chochote kwani ''kama siku yako haijafika'' hakuna kitakachokugusa? Pia kwenye maisha yako hata ukiugua usitafute tiba kwani kama siku yako haijafika hutakufa!
Jitihada haiondoi kudra mkuu. Tunafanya sehemu zetu, panaposalia tunamuachia Mola!
 
Hiyo cona mbaya Sana hata ukiwa huhalewa yakutaka uwe makini sana.na hiyo njia usiku magari ya mchanga yanakimbia Sana na yanapiga horn hivyo na ku2sha taa Kali sana
 
Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge.

Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza,

Wakaondoka, ndio wakati wanaingia main Bagamoyo Road pale Lake Oil Lori la mchanga likawagonga walikua 6 mmoja ni majeruhi.

Enyi walevi, pombe sio chai!
 
Back
Top Bottom