Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Umejuaje kuwa jamaa hana hizo nguvu 😎Mwenye hospital mbona hakupewa nguvu hzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje kuwa jamaa hana hizo nguvu 😎Mwenye hospital mbona hakupewa nguvu hzo
binadamu ni wabishi sana wallahTutaaminije?
Siri kaliUmejuaje kuwa jamaa hana hizo nguvu 😎
Hatari sana hii aisee!Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) imesema kati ya asilimia 40 hadi 50 ya wanaume wanakabiliwa na tatizo la nguvu za kiume, huku wengi wakifika hospitalini hapo kutafuta huduma ya upandikizaji wa uume.
Mkurugenzi Mkuu wa BMH, Prof. Mabere Makubi, akizungumza leo Machi 4, 2025 jijini Dodoma amesema tayari wanaume watano wamefanyiwa upasuaji huo, lakini changamoto kubwa ni gharama zinazofikia Sh milioni 5 hadi 6. Amesema hospitali hiyo inaendelea kushirikiana na serikali ili kupunguza gharama na kufanya huduma hiyo kupatikana kwa wengi.
Aidha, hospitali hiyo inatarajia kuanza kutumia roboti katika upasuaji ndani ya miaka mitatu ijayo ili kuongeza usahihi wa matibabu. Pia, wanawake wenye umri wa miaka 35-50 wamekuwa wakihudumiwa kwa huduma ya upandikizaji wa mimba.
Prof. Makubi amewahimiza wananchi kujiunga na bima ya afya ili kuepuka changamoto za gharama za matibabu na kusisitiza kuwa serikali inaendelea kusaidia wananchi wasio na uwezo.
Wamepandikizwa uume wa punda mkuu. Wake zao wakae kwa kujipanga.Kwamba wamepandikizwa uume au wameongezewa homoni zinazochochea nguvu za kiume?
i.e vipandikizi ambavyo ni rechargeable?Kumbe wameweka vipandikizi maalumu nikajua wameweka uume mwingine mpya
sijajua mkuui.e vipandikizi ambavyo ni rechargeable?
yeah ni stori hiyo mkuuKumbe wameweka vipandikizi maalumu nikajua wameweka uume mwingine mpya
Halafu hii habari mbona kama inafanana na hii
Watano waongezewa nguvu za kiume Hospitali ya Benjamini Mkapa
yeah ni stori hiyo mkuu