π€£ π€£ π πHivi kuukana uraia mtaji wake ni hadi uwe na sh ngapi
Ni kweli s3hemu ambayo unahisi ni changamoto , kuna waliotangulia na waktatua hiyo changamotoMkuu kila kitu kinawezekana chini ya jua
Wengine wanakula ya kubrashi
Na wengine wameambiwa wasile sana
Watu wanapita kila kukicha na kuingia/kutoka
Hata Mexico wanavuka kutwa
Dunia hii huwa sioni kinachoshindikana
Warundi siyo? Haa haa nimechekaHongera zao sisi wengine tupo tanzania lakini si watanzania
Mimi naishi lakini nishaukana hapa hapa sijivunii kuitwa mtanzaniaukiukana kuupata ni kwikwi... sheria hairuhusu labda kama itafanyiwa marekebisho... hivyo ni bora usubiri dual ili uongeze uraia kuliko kuukana sasa ukitegemea kuurejesha pale kutakapo kuja kuwa na dual, maana ni ngumu labda kama sheria itazingatia kuwa rejeshea walio upoteza...
Mimi nilipata mchongo wa kuajiriwa Benki Kuu ya Marekani. The Federal Reserve.
Jamaa waliangalia resume yangu (Tanzania tunaita C.V), wakaipenda.Tena nilikuwa hata sitafuti kazi nilikuwa nafanya kazi sehemu nyingine.
Wakasema wananitaka nifanye nao kazi, wamependa uzoefu wangu na elimu yangu.
Ila, wameona kitu kimoja tu, kwamba nimetokea Tanzania. Lakini nimefanya kazi miaka mingi Marekani
Je, nishachukua uraia wa Marekani?
Nikawaambia bado. Hapo nilikuwa na Green Card tu.
Wakasema samahani sana, tumepemda uzoefu wako sana, elimu yako nzuri, lakini hii kazi ni sensitive sana, ina sharti la kwamba mtu atakayeifanya ni lazima awe raia wa Marekani. Haijalishi kama ana uraia wa nchi nyingine, lakini awe raia wa Marekani.
Yani Tanzania ilikuwa na nafasi ya kuwa na mtu wao Benki Kuu Marekani apate uzoefu, hata aweze kusaidia mambo Tanzania.
Hapo nilikuwa nishasubiri sana dual citizenship kwa uzalendo.
Nikasema sasa basi sisubiri tena.
Ilikuwa nina uwezo wa kupata uraia wa Marekani miaka kadhaa nyuma lakini nilikuwa nangojea dual citizenship Tanzania.
Nikaenda ku apply uraia wa Marekani, nikauchukua.
Kuanzia hapo nikafungua milango ya zile kazi zote sensitive ambazo watu walikuwa wana mind uraia.
Mpaka leo sijajutia uamuzi wangu huo.
Kama Watanzania wameshindwa kujua umuhimu wa watu walio nje, wao ndio wanakosa kitu hapo.
Unachomewaje utambi wapo wengi waliishi hivyo kwa hiyo mtu akiishi Nje miaka mingi watasema sio Mtanzania?Shida wabongo watamchomea utambi ipo siku ndo ataelewa bongo nyosso au atageuzwa mteja au chaka pindi maafisa wakijua.
Maana wakiingia tu kwenye data base atapewa 24hrs note aondoke nchini sio raia plus kesi juu ya kujipatia passport ya kitanzania hali si Mtanzania.
Inatakiwa aishi kwa vibali hadi miaka 7 kisha ndo aombe kujadiliwa kuwa Mtanzania, kuanzia ngazi ya mtaa hadi kwa Waziri.
Hivi ukiukana watakulazisha kulipa kodi na makato mengine? Dr. Nchemba alisema tuhamie Burundi lakini siioni kwenye hiyo listHivi tunaukania wapi maana mm nishachoka bora niukane hapa Tz niombe ukimbizi huko Norway au ujerumani
Hao washaukata
Hata Arusha, wengi Sana Wana passport za Kenya na tzUingereza washkaji kibao wana british passport na na passport ya Tanzania na wanazitumia zote.
Wahapahapa hawawezi kulijuwa hili, hizi ni siri za jandoni.
Ishi hivyo lakini information isileakUnachomewaje utambi wapo wengi waliishi hivyo kwa hiyo mtu akiishi Nje miaka mingi watasema sio Mtanzania?
Ha haa,sawa mkuuπ€£ π€£ π π
Aiseee..
Ungepeleka hili swahi kwenye jukwaa la....
Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Special forum for those interested in Business and Economics discussionswww.jamiiforums.com
Swadakta ww ukiona sehemu kugumu unaekewa vikwazo vikwazo penyeza rupia tuu mambo yanakuwa laini maana mtu ndo anachokihitaji.So inamaana ugumu wanaouweka kwenye kupata hizi documents ni kutengeneza mazingira ya kujipatia rushwa , na sio usiri wala usalama?????
Kuna waziri aliukana uraia na bado kateuliwa kuwa waziri wa hiyo hiyo nchi aliyoukana uraia
Mimi nipo tz ila nilishaukana uraia tangu 2016
Yes naunyaka, nimegundua Americans kuna baadhi ya maeneo yao wao wenyewe wanatofautiana kuyatamka kutegemeana na state.Yeah,
Unaunyaka ule mtaa?
New Yorkers wenyewe wale ukiutamka ule mtaa "Hyuston" huwa wanamind sana.