Watanzania 38 waukana uraia wa Tanzania

Mkuu kila kitu kinawezekana chini ya jua
Wengine wanakula ya kubrashi
Na wengine wameambiwa wasile sana

Watu wanapita kila kukicha na kuingia/kutoka
Hata Mexico wanavuka kutwa
Dunia hii huwa sioni kinachoshindikana
Ni kweli s3hemu ambayo unahisi ni changamoto , kuna waliotangulia na waktatua hiyo changamoto
 
Mimi naishi lakini nishaukana hapa hapa sijivunii kuitwa mtanzania
 

Ilinitokea kama hii ila mimi ilikuwa army na utofauti kwa uzawa sio uraia
Nikakataliwa kwa sababu ya kutokuwa mzaliwa ingawa nina uraia wa wazungu
 
Sensa imeanza mapema hivi.πŸ˜‚πŸ˜‚
#Akili za usiku
 
Unachomewaje utambi wapo wengi waliishi hivyo kwa hiyo mtu akiishi Nje miaka mingi watasema sio Mtanzania?
 
Hivi tunaukania wapi maana mm nishachoka bora niukane hapa Tz niombe ukimbizi huko Norway au ujerumani
Hivi ukiukana watakulazisha kulipa kodi na makato mengine? Dr. Nchemba alisema tuhamie Burundi lakini siioni kwenye hiyo list
 
Uingereza washkaji kibao wana british passport na na passport ya Tanzania na wanazitumia zote.

Wahapahapa hawawezi kulijuwa hili, hizi ni siri za jandoni.
Hata Arusha, wengi Sana Wana passport za Kenya na tz
 
Sasa hao waliochukua uraia wa China na India.bora wangeendelea kuwa wabongo tu.
 
So inamaana ugumu wanaouweka kwenye kupata hizi documents ni kutengeneza mazingira ya kujipatia rushwa , na sio usiri wala usalama?????
Swadakta ww ukiona sehemu kugumu unaekewa vikwazo vikwazo penyeza rupia tuu mambo yanakuwa laini maana mtu ndo anachokihitaji.
 
Yeah,

Unaunyaka ule mtaa?

New Yorkers wenyewe wale ukiutamka ule mtaa "Hyuston" huwa wanamind sana.
Yes naunyaka, nimegundua Americans kuna baadhi ya maeneo yao wao wenyewe wanatofautiana kuyatamka kutegemeana na state.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…