Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hahaa.
Umenikumbusha leo nilikuwa namsikiliza mtangazaji wa BBC World anautaja mji wa Houston Texas.
Wenyewe wamarekani wanautaja kama "Hyuston" yeye akawa anautaja "Hauston".
Nikasema Marekani ina wenyewe.