WATANZANIA ELITES: Kabla ya kuja kwa internet, mgogoro wa Middle East mlipataje habari zake??

Enzi ya Kina Yasser Arafat
 
Kila zama zilikuwa na njia ya kupata habari japo kutokana teknolojia zilikuja zikiwa zimechelewa ukilinganisha na sasa hv tukio unalipata live.zamani radio kupitia idhaa za kimataifa,magazeti ya ndani na nje,vitabu,cm za mezani e.t.c.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…