Tunawaombea sana Mkuu. Hao wapuuzi wapeni dozi nene warudi kwa fidodido anayewatuma.Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.
Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.
Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Madikteta wanasababisha shida sana hapa duniani. Shida zote hizi ni Kagame.Vita isikieni kwa wenzenu.
Hapo Wananchi wa Kongo wakae mbali hiyo ni Vita ya Mafisadi ndani ya Serikali ya congo.
Hapo Wananchi wa Kongo wakae mbali hiyo ni Vita ya Mafisadi ndani ya Serikali ya congo.
Sio vita dhidj ya wananchi.
Ni muhimu sana Wacongo kama raia wasijihusishe na mambo yasiyowahusu
Yaani huyo kagame form four liver ana uwezo wa kupambana na PhD ya viongozi wetu kama hajapigwa mpaka anyooke na kupinduliwa juu japokuwa tutajua amepandikiza watu mpaka ikulu
Mafisadi wakiwa na neema hawawakumbuki Raia, ila wakishaanz akufumuana Risasi wanataka kufanya hiyo vita ni ya Nchi nzima wakati sio kweli...labda wananchi wote wahame, wawaachie nchi mafisadi. 😀
Umenikumbusha aliyekuwa amepimwa mkojo, hivi aliyeupima alikuwa mkemia mkuu?Madikteta wanasababisha shida sana hapa duniani. Shida zote hizi ni Kagame.
Madikteta aina ya Putin na Kagame wanatakiwa kupingwa kwa nguvu zote.