Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
-
- #81
Tunajitahidi tunapo pata nafasi si mbaya kushare tunayo jua. Hata kama si leo basi miaka kadhaa ijayo tunacho share leo kitanufaisha watu!Mkuu nakufatilia sana nyuzi zako,unajitahidi sana kuwasanua wabongo kuhusu haya mambo,wabongo wanapenda umbeya kuliko elimu
Leo hii kijana wa chuo,anapenda sana anasa,wakati ana uwezo wa kununua hata Tron 100,akaziweka tu kwa miaka 10
Ndio maana kwanye post nimesema kila afanye utafiti kujirizisha.saiv kila coin ipo bullish ukimwambia mtu aweke pesa yake af after two weeks ikadump atakuona mchawi
Mkuu hold wala usikate tamaa shilingi inaweza kupinduka saa yyte, its a matter of time, tena usiishie kuhold tu fanya na staking zitie fixed ata kila baada ya mwezi utazivuuna saana mkuu
Transaction fees kwenye hii blockchain ndo zimekuwa balaaEthereum pia iko vizuri ina promising future ila ni Dollar 3600 hivi siyo mbaya ukipata fraction yake
Etherium 2.0 is goin to solve that issue. Kama wakishindwa (something which is unlikely) basi kuna polygon (coin ambayo imeundwa ontop of ETH) ambayo inaweza solve hiyo issue.Transaction fees kwenye hii blockchain ndo zimekuwa balaa
Na Wamerekani, Waingereza, Wajerumani, Wafaransa ni wajinga kuzikubali hizo coin?! Lazima tujifunze kujiuliza maswali yote.Inakuwaje hizo coins zinapanda thamani hivo? Hakuna udaku kweli kwenye hayo mambo? Hizo coins zinazalisha nini hasa mpaka thamani yake inapanda hivyo?
Je wachina ni wajinga kukataa hizo coins na kuzipiga marufuku??
Nafikiri ungemquote aliyesema china wamezuia ingekuwa sahihi zaidi.Mkuu ebu naomba ushaidi kuwa China imekataa hizi coins, maana hainingii akilin kwa taifa kubwa kama China kukataa hii kitu
Sorry lkn
Unazo coin ngap?Wachambuz weng walikatisha tamaa juu ya shiba ooh ni memes/shit ila c hyo inasonga songa... Yan mm nataman ifike thamani km ya doge tuu aseee nile maisha.
Physical things kutoboa ni shida, case ya 1 kwa kilimo,mvua hazieleweki,soko nalo halieleweki,tozo kibaoNashauri watu wawekeze kwenye physical things ...bado tuna ardhi ya kutosha, ...
Unasema dunia ndo inakoelekea na kwamba mwenye degree hapaswi kuuza vitu mtaani? Kwahiyo wakati unasubiri hiyo dunia ifike huko inakoelekea ukae tu na kusubiri sio?Ndiko dunia iliko elekea, haifai degree kuuza maembe mtaani akati ina uwezo wa kuchimba vitabu na kuingia kwenye competition ya kimataifa
Angalizo..kama huwezi kusoma vitabu yaan kujitesa kwa kipindi kisichopungua miezi 6 na kuendelea usiku na mchana huku sio mahali pako..
Huku hakuna shortcut ni msuli wa hatari
Kwa wastani ulianzia kiasi gani?Mkuu km unazo kuanzia milioni kuendeleaa, ww subiri tu ule mema ya nchi, yan hii itatoboaa tuu, kuna baadhi ya coin hazina ata jina lakin znavyokimbiza duuh,,,, mm namuomba Mungu yan Shiba ikitusua tuu ni kufurahi maisha... Vijana wenzetu wawekeze tukianza kuwa na maburungutu wasijesema sisi n fremason
Mtu angenunua MATIC tarehe uliyopost...leo angekua na faida ya zaidi ya 90%Sitaki kuongelea bitcoin miaka 10 iliyo pita wala sitaki kuongelea the likes of etherium miaka kadhaa iliyo pita.
Kuna coin ambazo zina huge potential na mpaka sasa zina bei nafuu kweli kweli!
Mfano wa hizo coin (pamoja na bei tarehe ya leo 10/10/2021) ni kama ifwatavyo.
1. Matic Polygon (1.3 usd per coin)
2. Enjin (1.7 usd per coin)
3. Cardano (2.22usd per coin)
4. Fantom (2.22usd per coin)
5. Zilliqa (0.1 usd per coin)
Ziko nyingine nyingi lakini hizi ndio naona kidogo zina future nzuri.
Pamoja na kuwekeza kwenye fixed account au ununue hisa ni bora ukafikiria kuwekeza kwenye cryptocurrencies! Miaka mitano mpaka kumi from now unaweza jikuta uko sehemu ingine kabisa!
=========
NB1: Kuwekeza kwenye cryptocurrencies ni kama uwekezaji mwingine, kuna faida na hasara hivyo HAKIKISHA UNAFANYA TAFITI KUJIRISHA KABLA HUJAWEKEZA PESA YAKO.
NB2: Sitoi mafunzo wala huduma za cryptocurrencies na ndio maana nimesisita ufanye tafiti yako mwenyewe ili ujirishe.
Kila la heri Mtanzania mwenzangu!
Binadamu wengi hatuna pesa, sababu si kuwa hatufanyi kazi kwa bidii,...sababu kubwa ni kuwa hatuna taarifa sahihi kuhusu pesa na tukiambiwa/tukipewa taarifa kuhusu pesa tunapuuzia,tukiamini njia tunazotumia sisi tu ndio sahihi(tumekaririshwa)........na hii ndio sababu kubwa wengine ni masikini wa kutupwa wakiendelea tu kulalamika,........umasikini sio pesa,ila ni taarifa sahihi kuhusu pesaHuu Uzi Kuna muda utafufuliwa na watu watakuwa wanacomment za "ningejua"...
Kuna ule Uzi wa Bitcoin wa 2010, mwamba alianzisha ,ukisoma comment za juu na za chini utagundua kuwa watu walipishana na gari la mshahara...
Watu walikuwa wagumu hivi hivi .....
Jf huwa inatunza kumbukumbu ,2030 huu Uzi utafufuliwa na Kuna watu wataumbuka trust me...
Narudia Tena 2030 huu Uzi utaumbua watu ....
Duuh mkuu haya madini acha niyasave...January nilinunua Shiba inu kwa $600 sawa na 100,000,000 shib.x sasahivi $600 sawa na $3,100 December inaweza kuwa sawa na $30,000 na 2023 au 2025 sawa na $100,000,000.
Kama unawekeza kwenye cryptocurrency angalia shiba inu, Btt.x Umb na doge coin. Utanishukuru sana ifikapo 2025
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mkuu mfano wa coins gani hizo,zina futures nzuri?Daaah uliiwahi mkuu! Tuendelee kupambana! Mimi plan yangu kwa sasa ni kutafuta coin zenye future nzuri niwekeze zaidi!!
Mkuu tupeane maujanja ya "projects" zitakazolipa hapo mbele...hao wadau tutakuja kuwauzia Shibacoin moja usd 1.2 2031 hukoJe Mama Samia ni mjinga kuiambia benki kuu ya Tanzania ianze kujiandaa?
Je nchi kama Elsavado ambayo sio tu imeruhusu bali imeanza kutumia bitcoin kama legal tender nao wajinga?
Alafu tumalizie na hii...
Je gavana wa federal reserve (benki kuu ya USA) alipo sema hawana mpango wa kuzuia cryptoes nao wajinga??
Embu tufikirie pamoja mkuu!
B.O.T tatizo lake nini hapo?,mkuu?Tatizo ni BoT